buti khann
Senior Member
- Jul 13, 2021
- 184
- 66
Nakushaur k2Nitazameje kitu kisichojulikana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakushaur k2Nitazameje kitu kisichojulikana?
Nakuelewa but tatizo wazazi wangu wameenda age, huyu ana presha kabisa....akisononeka sana anaumwa kabisa.Mim kumfurahisha mtu kwa jambo naloliona ni uongo siwezi, niliwai kujikaza kuwafurahisha wazaz lakini nilishindwa.
Wachukie, wasononeke, wapanik, ilo watajijua wao maana ni Jambo langu private, hata Huyo Mungu wao mbona kawafunza kuwa imani ni jambo la mtu na Mungu na sio watu na Mungu? Yaan hakuna mtu anaruhusiwa kukuingilia wew na Mungu wako kivyovyote vile.
Kusema kuwa unakuwa humtii mzazi kisa umegoma kufuata masharti yake ya kwenda kanisan unakuwa umekosea, maana kama ni hivyo basi hata waganga wanapolazimisha kuwarithisha uganga watoto zao nao wanakuwa wako sahihi maana watoto watatakiwa kutii kwa mujibu wa Wafia dini jinsi wanavyotaka kutuaminisha.
Kaza fuvu mpaka wao wakubaliane na wew, nasio wew ukubaliane nao, huu ndio ukwel mchungu, hizo dini ni angamizo la akili na Roho, huwezi kuwa timamu kwa kushika dini.
Afrika bila dini ingekuwa mbali sana
Nilikuwa ndani ya yesu sikuona faida yyteBadilik uone faid y kuwa ndan y yes
Kwann mwamposa sio sawa? Ila TAG iwe sawa?Kama anakulazimisha kwenda kanisani ana nia nzuri ila si sawa kama anakulazimisha kwenda kwa Mwamposa
HaukuaminNilikuwa ndani ya yesu sikuona faida yyte
Nilipo kuwepo.Wap apo
Pia anatak uvumilivu ajue ww n wwkeNilikuwa ndani ya yesu sikuona faida yyte
Siishi kwa imani kabisa...Naishi kwa ushahidi..Nikuulize,
we unaishi kwa kufuata/kutegemea kile unachoamini au kile ambacho umekosa kuamini?
Kwasababu wazazi waliwafundisha hivyo.Unajua kwann tunaenda kwenye dini
Nikaribish tusal woteNilipo kuwepo.
Hii ni level nyingine ya ujinga sasaNdio s ni mzaz wako tii kama isac alivyo mtii babae
Apan ladyKwasababu wazazi waliwafundisha hivyo.
KweliSio kweli
Ahaa kwahyo wanawake hawatakiwi kuwa na uelewa.Apana naona uelew wako n wakiume
Sio kweli aminKweli
Wanaelewa harak zaidAhaa kwahyo wanawake hawatakiwi kuwa na uelewa.
Tabu anajipa mwenyewe, angekuwa muelewa singeona tabuHuon unampa mama taabu
Kwa din tunapat vit vipy neno l mungu marafik wa mungu n meng mazurSio kweli amin
Ss hairuhusiw ww kupingan n wazaz wako ata kma kakosa yeyeTabu anajipa mwenyewe, angekuwa muelewa singeona tabu