Mbona huyo mungu wako asikuondolee ccm?Wale Ni malaika hawana kosa. Tofauti na mtu anayeharibu uchaguzi ili atawale pekee yako, huyo lazima aondolewe kwenye uso wa Dunia.
Damu ya mtu haiwezi kuwaacha hivihivi.
Kwahiyo na wewe utakapokufa utakuwa ni mpumbavu?Maana yeye alikuwa mpumbavu. Unaiba uchaguzi ili utawale bila upinzani halafu unakufa ndani ya mwezi huo si upumbafu.
Sawa mpinzani wa uraianiCcm wanajua kuwapa wapinzani wa mitandaoni hoja za kujisahau kweli. Hii ya kuishi milele itachukua siku tatu mpaka mwezi au zaidi ikishupaliwa, ukijumlisha na ile ya chama cha mambuzi basi kuna miezi sita ya kusahahu ajenda zenye hatari kwa ccm huko mitandaoni.
[emoji1787][emoji1787] waliobaki binamu watajuaBinamu bhana...
Sa' mtu ushakufa utajuaje tena yanayoendelea huku duniani?!
Isije ikawa niksi sasa watu wakakata motoMzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Source TBC
Sasa anafanya payback kwa marehemu?!Makamba ana usongo na Magufuli.
Alivyoaibishwa na Magufuli sasa ni payback time!
Hivi binadamu niliwahi kukuambia kwamba kicheko chako ni very amazing?![emoji1787][emoji1787] waliobaki binamu watajua
Anakesi ys kulawiti kigoma watoto akiwa mwalimu wa shule ya msingiMzee kavimbiwa madaraka anatapika ushenzi mtupu, huyu mzee inawezekana enzi za ujana wake hakuwa tofauti na mwijaku.
Uchawa na debe kwa mwanae.Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Source TBC
Chama cha mambuziKweli hiki chama Cha mambuzi
Wengine wanapozeeka wanakuwa busara zaidi, lakini kwa bahati mbaya wengine wanakuwa waropokaji. Huyu mzee alichofanya hapa ni uropokaji.Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Source TBC