Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Yupo Dodoma na alijiandaa kuhudhuria lakini alipata mafua akashindwa kuhudhuria. Aliandika barua kwa mwenyekiti kuelezea yaliyomsibu. Naona uzee umemzidia mzee wetu.Mzee mwinyi mbona kimya atie neno nchi ipone