Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Ukisikiliza kwa makini yule mzee anamhakikishia mtukufu kuwa hatakufa
ataishi miaka mingi kama wale wazee wengine..
Nauliza kwani nani amesema atakufa!?
Yule mwingine anasema mambo labda yakiharibika sana ndio tutarajie
mabadiliko 2025, je ni ccm(cham cha mambuzi) wote wanaweza kuvumilia mpaka yaharibike sana
ili kubadilisha mtukufu au ni yeye ndiye huwa anawabadilisha watukufu
kwa hiyo anauhakika bila yeye kusema mambo yameharibika sana hakuna kitakacho badilika.
Mwisho, mambo ili yaharibike sana yanatakiwa yawaje!?
Hizi kauli za wazuri hawafi, mungu(sio Mungu) kaamua ugomvi, na wazee tulisema hapana
zina maana gani!?
Je ccm huwa kuna mungu(sio Mungu) amabaye huwa anaamua ugomvi anaamua
nani afe na nani aishi milele!?
Wazee wapi waliosema hapana enzi zile!?
Naomba majibu wakuu
Enewei wazuri wataishi milele....
"Watu Wazuri HAWAFI ndo maana Mzee Kikwete na Kinana wapo hai mpaka leo"-: Mzee Yusuph Makamba
IMG-20221208-WA0161.jpg
 
Mzee kateleza kakosea sana... Hopefully watamueleza in private

Hapana kuteleza mkuu...lao moja .. he meant every word he said....

Jiulize why is he comfortable saying those words mbele ya mwenyekiti....

Ndio viongozi wetu hawa wanaotuongoza...na kinachoumiza zaidi ni wenzetu wanaCCM walalahoi wanatusaliti kwa bahasha ya khaki wanatupitishia mafisadi hawa kuiongoza nchi....
 
We umesoma chuo gani
Hilo ndio swali lake ukimuandama sana kwa maswali.
 
Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo

Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025

Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo

Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025

Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional

Source TBC
Tukisema huyu mzee ni mnafiki je tutakuwa tumekosea, kwa hiyo wote waliotangulia mbele za haki hawapendwi na si wazuri, hizi kauli zafaa zikemewe na si kuchekewa,mara sasa tunalamba asali, hawa kweli ni wahaini! na chawa wakubwa, imenikumbusha kabla ya mtoto wake kutolewa nduki na mwendazake huyu mzee alikuwa akiimba mapambio kuhusu mwendazake, lakini baada ya mtoto wake kutolewa ndio ikawa nongwa, anamsifia mama kwa kuwa tu mwanae yupo madarakani, huyu ni mzee mnafiki sana pamoja na mwanae wote ni wanafiki tu.
 
Back
Top Bottom