ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Eti ndo useme huyu ndo wazeee wetu si ni upuuzi kabisa kua na mzee km huyu hakuna ...hakuna mtu alie penda kufa awe mbaya ama mzuri ...cha msingi ni kuwaombea herii wafu ..Huyo si mwema basi ataendelea kuishi tu milele