Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Umetumia code adi kunifanya nisielewe
 
Ni kuwa kiongozi ukiwa mzuri watu watakuombea dua, watu wa dini, na imani zote watakuombea usipatwe na maradhi na Mungu husikiliza maombi yao

Lakini ukiwa kiongozi mbaya ambaye unanyanyasa watu, unaua, unawabomolea nyumba, unawafilisi damu za watu zinakulilia, machozi yao hayawezi kwenda bure na utakufa mapema
 
Kikwete kafanya hayo kwenye utawala wake.
 
Mpumbavu katika ubora wako....,
Kule sodoma na gomola watu yawezekana waliombea sana viongozi wao ili waendeleze ufirauni wao.
Eniwei huyo mungu anayesubria watu waamue wewe ni mwema na flani ni mbaya, yeye hajui ni kichaa mwenzako
 
Hii kauli itamtafuna Maisha yake yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…