Magu aliwajua hawa wazee ni wachawi,wabinafsi na wanafiki mno ndio maana aliwakwepa na alijua kwamba ni kikwazo kwa maendeleo ya nchi.Hicho ndio kizazi cha uchawi wazee hawana nasaha zozote njema kwa chama toka wadukuliwe. Umbea wao kama wanawake wamekua watu wa hovyo unamsema marehemu ambaye hawezi kujitetea ajabu hii
Inamaana yeye hatakufa?kenge huyu,Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Source TBC
Kwa hiyo babake makamba bado yupo?Kasema kweli we uoni Kikwete na Mzee Mwinyi wapo hai hadi leo
Watawala wa kikristo wengi wao wana roho mbayaaaaAna maanisha hadi SAsa watawala wa Kikristo ndio waliokufa
Umri wa babake Makamba ulisababisha afariki. Lkn jiwe alikuwa bado mdogo kiumri kuliko hata Kikwete, ubaya umemfanya awahi kufa.Kwa hiyo babake makamba bado yupo?
Kama hayupo nae alikuwa mbaya?
Babe leo ume comment na huku,Anataka kumaanisha nini? haya maisha haya ukifa ndio utajua nani mwema kwako na nani adui kwako tuishini vizuri tu tukiwa hai.
Kiduchu tu [emoji6]Babe leo ume comment na huku,
Hii kauli kateleza ulimi. Tumsamehe ni mzee wetu. Naomba sana tena mjadala usimhusishe aliyekuwa Rais wetu Dk. Magufuli. Siyo jambo zuri na halipendezi🙏🙏🙏Mzee Makamba amesema Wanaccm Wana Iman kubwa sana na Rais Samia na 2025 atashinda kwa kishindo
Mzee Makamba ametaka CCM kupitisha Azimio la kumpitisha Rais Samia kuwa mgombea Urais pekee kea ticket ya CCM 2025
Makamba amesema hakuna haja ya kuogopa kwani Watu wazuri na wanaopendwa hawafi ndio sababu mzee Kinana yupo na mzee Jakaya yupo
Makamba amesema Wapinzani akina Chadema ajenda zao ni 2 tu Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi lakini Wananchi hawali Katiba. Kule kwetu kwa mfano Wananchi wanataka Maji, Umeme, Huduma Bora za Afya na Elimu ambazo zimo kwenye ilani ya CCM hivyo Wapinzani wasahau kabisa habari ya Ushindi 2025
Hata hivyo Rais Samia amesema Mzee Makamba ameteleza tu ulimi kwa Kauli hiyo ya kwamba Watu wazuri hawafi kutokana na kuwa emotional
Source TBC
Kanakufa soon, kana kisukari na preshaYaani mzee akili zimekua za kitoto sana asidhani yeye atadumu milele,
Moyo wangu umefurahi sana kuona id yako😘Kiduchu tu [emoji6]
Kifo hakina umri ndio maana hata Watoto wadogo hufariki, makamba amewahi kufiwa na mjukuu wake. Unataka kusema mjukuu nae alikua mbaya? Ameteleza na uzuri mama Samia kamrekebisha hiyo kauliUmri wa babake Makamba ulisababisha afariki. Lkn jiwe alikuwa bado mdogo kiumri kuliko hata Kikwete, ubaya umemfanya awahi kufa.
Mtanisamehe kwa hii comment yangu ila lazima nisemeMagu aliwajua hawa wazee ni wachawi,wabinafsi na wanafiki mno ndio maana aliwakwepa na alijua kwamba ni kikwazo kwa maendeleo ya nchi.
Ni vice versa.Mzee anazeeka vibaya
Nyerere
Mkapa
Jpm
Sokoine
Na wengineo ni watu wabaya sio?
[emoji847][emoji847]Moyo wangu umefurahi sana kuona id yako[emoji8]
Amemaanisha KIKWETE, MAKAMBA na KINANA, hawatoona MAUTI Kamwe Hadi Masihi arudi😃😃😃Na Mtume Mohamed alikufa savabu alikuwa na madhambi kibao ndio maana alikufa
Akina kinana na kikwete watakatifu kuliko mtume Mohamed ndio maana wako hai
Waislamu hongereni kupata watu wazuri kuliko.mtume Mohamed aliyekufa akina Mzee Makamba, kinana na Kikwete ambao hawafi kwa sababu ni wazuri kuliko Mtume Mohamed mumepata mitume wapya Mzee Makamba,Kikwete na Kinana anzeni kuwaabudu