Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Kweli mzee makamba kateleza, kimsingi anatakiwa aombe radhi kwa kauli yake hij, anataka kutuambia nini kuhusu JPM wetu, Ben Mkapa, ? Unajua kuongea sana nako ni shida
 
Hebufikilia watuwaliobomolewa nyumbazao Kimara mbeziwakilia munguawasikii mbonakwaomwanzaalikatazabomobomoa unahisialikuwa narohonzuri wakulimawakorosho Wakalia mbaaziwakalia mahindiwakalia munguakuache mwacheaeende akawekiongoziwamashetani
 
Anapaswa aseme ASTAGH FIR ALLAH .

KIfo hakichagui wala hakuna kaburi la mzuri na mbaya .

Wote ni wafu..

2025 ni karibu sana kuizungumzia LAKINI Kwa sisi binadamu hata kesho ni mbali sana,,huenda tusifike.
 
Mzee bado ana hasira na yule shetani mwendakuzimu,tusimlaumu Sana..,ukiwa na hasira kama huna uwezo wa kuidhibiti unaweza kuongea chochote

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Kifo anakijua Mungu. Nani aende na nani abaki anajua Mungu.

Mwanaye January anayempigania anaweza hata akafa Kesho akazikwa na kesho kutwa akafa Mwamvita na day after akafa mke wake na akabaki peke yake...

Kwa maajabu na utukufu wa Mwenyezi Mungu atabarikiwa aishi miaka 125 na sisi tutakuwa tunamwambia watu wabaya ndio hufa ndio maana yeye yuko hai na familia yake haipo...
 

Huo umeme na maji yapo?.
 
Hebufikilia watuwaliobomolewa nyumbazao Kimara mbeziwakilia munguawasikii mbonakwaomwanzaalikatazabomobomoa unahisialikuwa narohonzuri wakulimawakorosho Wakalia mbaaziwakalia mahindiwakalia munguakuache mwacheaeende akawekiongoziwamashetani
Jua kuandika kwanza unahandika kama unahandika Kiarabu kumbe Kiswahili
 
Anasema kule kwao wananchi wanataka maji, umeme, huduma bora za afya na elimu. Anasema katiba siyo chakula. Kwahiyo wananchi wao shida yao ni chakula tu na hizo huduma nyingine zimeshindikana kwa zaidi ya miaka zaidi ya sitini baada ya uhuru!

Katiba mbovu ndo rafiki wa viongozi wabovu. Mzee lakini ameongea ujinga kabisa. Duh!
 
Sasa huyu mzee anataka amiliki nini hasa ndio aamini kuwa keshatosheka. Ni fedheha kwa mtu wa umri wake kuendekeza uchawa.

Alipaswa arudi kwa Mungu wake kipindi hiki kujitengenezea ahera yake. Lakini wapi, bado anakuwa chawa ili aendelee kupewa.
Sio watu wote huamini ipo Ahera !! Wengine wanaamini maisha ni hapa hapa duniani tu !! Utawajua kwa kauli zao na vitendo vyao. !!
 
Kama hakuwashughulikia kwa namna moja ama ingine unadhani wangekuwaje na chuki nae? Magufuli alimfurumusha mwanae kipenzi na kumpa wakati mgumu kipindi cha utawala wake. Ndio maana Makamba ana chuki mno
 
Black Sniper, Uhuru JR, na Denoo J huwa mnaandika ujumbe mzuri sana na kujibu hoja kwa hekima bila kujikita kwenye ubaguzi wa dini, vyama vya kisiasa, kabila, utaifa, rangi, jinsi wala umri.

JF wapo Watu wengi sana makini lakini ninyi nimewainulia mikono juu [emoji119][emoji56]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Makamba mwenyewe hapo halipo Sukari imeisha mtafuna hadi ubongo,anasubiria kifo, harafu anadhiaki kifo,hiki nacho kichekesho kingine.Karume alipigwa shaba mchana kweupe wakati wazanzibari walikuwa wanamkubali, alafu anasema wazuri hawafi.mpuuzi tu kalewa buyu la asali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…