Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Mzee Makamba: Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!

Ninachojua mimi " watu wema hawadumu" angalia JPM ambae alikuwa mkombozi wa Tz hakudumu. Labda Mungu alitaka akaongoze malaika wake.

Acha kumdhihaki Mungu. Ameikomboa Tanzania kutokana wapi?. Magufuli ana chawa na Samiah ana chawa kila mmoja anaongea ujinga.
 
Mkuu kama Magufuli angekuwa kweli kama hivyo mnavyomuelezea kwamba alikuwa anauwa watu hovyo basi angekuwa keshawamaliza hawa watu maana aliwajua toka yupo hai asingewaacha walikuwa wabaya wake, labda tuseme aliona noma au kuna namna iliyomfanya ashindwe kuwauwa kama alivyokuwa anauwa hovyo hao wengine.

Kosa la magufuli ni kupambana na CHADEMA mpaka mwisho wakati CHADEMA hawakuwa maadui zake, tena CHADEMA ndio walipiga kelele kuhusu kifo chake.
 
Watu wabaya ndio huwafi haraka maana MUNGU anawaacha ili wapate nafasi ya kutubu. Watu wazuri wanakufa haraka, MUNGU anawachukua ili wasije kumtenda uovu wakaikosa mbingu.

Sio kweli, watu wabaya Kama vibaka na majambazi wanaochomwa Moto kila siku huwa wanaachwa watubu. Kuna watu Mungu huwaondoa ili wasiendelee kuumiza wengine.
 
Hivi ccm kwanini huwa wanalazimika kumpa nafasi ya kuongea huyu mzee?
Kipindi kilichopita aliongea mpaka leo neno lake lile limeleta athari kubwa sana kwa wote ccm na serikalini.
Leo tena ameongea neno gumu !!
 
Back
Top Bottom