The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Very sad kama kweliNasikia wajumbe wameipigia makofi mengi kauli hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very sad kama kweliNasikia wajumbe wameipigia makofi mengi kauli hii
Bado hujafikiri Kama Great thinkersGreat Thinkers kwenye Negative?. Mbona aliposema mama usipofika mwaka 2025 Mungu ataleta mwingine hamkusema chochote?
Hapanaa,Nebukadnezer!Kauli mbaya kuwahi kuisikia tangu mwaka uanze.
Mzee nenda Kalale maana karibuni tutaswali!?Hii nchi sio yenu. Hili ni taifa la watanzania. Chochote kinaweza kutokea
Hii ni pumba.
View attachment 2439965
Jamaa anachuki na mu ambaye hayupo kujibishana nae, nimgemuona wa maana kama hizo chuki angezionyesha wakati jamaa yupo hai tungemuona wa maana, kisa cha chuki ni mwanawe kutemwa uwaziri, mzee huyu kasahau kuwa kila nafsi itaonja mauti, hizi kauli za hovyo zilitakiwa zikemewe hapo hapo kikaoni lakini kwa kuwa CCM imebaki jina basi wapambe wamebaki kupiga makofi, kwa hakika CCM ilishaondoka na mwalimu JK Nyerere, na hawa wa kuja ndio wanajifanya ndio wenye CCM, nasubiri kama Mzee Msekwa na Mzee Mangula wataweza kukemea upumbavu huu.Kejeli hizo akumbuke dunia uwanja wa fujo tu tunapita chuki yake isimfanye asahau kua hata yeye siku moja ataiacha dunia
Kweli ondoka usemwe, Pumzika kwa amani JPM 😭
Ndio maan hapi alisema hatawatwangaAKILI YAKE INAZEEKA KWA KASI KUBWA SANA.
TUWE NA UZEE MWEMA.
AKILI NA HEKIMA.
WAZEE WA SASA HAWA NI ROPO ROPO.
HAKUNA HEKIMA HATA MOJA.
Ninachojua mimi " watu wema hawadumu" angalia JPM ambae alikuwa mkombozi wa Tz hakudumu. Labda Mungu alitaka akaongoze malaika wake.
Amalizwe na nani sasa wakati mtesi wake keshaondoka. Au ndio tuamini kwamba alitishia nafasi ya mwenyekiti wa milele pale ufipa ndio yakamkuta yakumkuta ?Arudi mummalize?
Mungu hadhihakiwi. Kesho atatuonyesha uzuri wao.Sasa mtu kama huyu hizo chuki zake kwa Magufuli utasema ni kwa sababu ya nia njema kwa nchi na watanzania? Jana katoka kuongea maneno ya dharau yasio wapendeza watanzania halafu leo anasema watu wazuri hawafi na mfano wa hao watu wazuri ni JK na Kinana kwamba wapo hai hawajafa kwa sababu ni watu wazuri!!!
Ndio maana ally happy amewaambia wanyamaze laa c hvyo atawatwangwaaMzee kavimbiwa madaraka anatapika ushenzi mtupu, huyu mzee inawezekana enzi za ujana wake hakuwa tofauti na mwijaku.
Hicho ndio kizazi cha uchawi wazee hawana nasaha zozote njema kwa chama toka wadukuliwe. Umbea wao kama wanawake wamekua watu wa hovyo unamsema marehemu ambaye hawezi kujitetea ajabu hii
Nadhani nadhani kwa kauli kama hizi inawezekana Rais Samia akawageuka maana yeye pia anajitambua siyo mwenzao. Akichelewa atakuwa kama wanavyofurahia kifo cha Dkt Magufuli. This is a wake up call for Rais Samia.Ukishamaliza kuutafuna upinzani mtaanza kutafunana wenyew kwa wenyew
Wala sio chenga ni pumba. Mzee Makamba ajue hataishi mileleMzee chenga Sana.
Kweli kabisa mkuu. Unaweza kuta mwaka huu usiishe mara Mwezi wa Kwanza anakufa, sijui Baba yetu Mauzi atasemaje? Atasema mwanae alikuwa mbaya ndiyo maana kafa?? Nadhani anapaswa aombe msahama mbele ya hadhara ili jamii imsamehe otherwise ulimwengu wa roho hutenda mambo tusiyoyajua. Maana kifo hata uwe nani wote tutakufa tu.Kagame yuko hai, museveni yuko hai, Nyerere hatunae tena, Karume hayupo, wala uhai sio kitu cha kutolea mfano wowote, watoto wao kua na vyeo wasipofushwe macho mambo hubadilika saa na muda wowote