m2mixh
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 614
- 391
Jpm alimkomboa nani?Katika lipi?Ameleta nini hiko kisichoonekana ambacho unakiona wewe tu?Kama ni barabara zote zinazounganisha mikoa zilijengwa na Kikwete,Fuatilia flyover zile uone zilianza kujengwa lini.Mwisho wa yote mkombozi ni MUNGU(YAHWEH) peke yakeNinachojua mimi " watu wema hawadumu" angalia JPM ambae alikuwa mkombozi wa Tz hakudumu. Labda Mungu alitaka akaongoze malaika wake.