Ulifanya vyema ingawa mzazi alikua anaona kama unamnyima haki ya kua na wajukuu zake.Kabla sijaoa nilikua singo baba with 5 kids.
Sasa hii kiti ilikua inamtesa sana mama yangu akitaka niwapeleke watoto wangu kwake akawalee na niwe namtumia mahitaji tu.... aiseee nilimkatalia na nikamwambia hawa ni watoto wangu na niwajibu wangu kuwalea mimi mwenyewe.
Basi mama yangu alikua anaumia sana, ila nashkuru mungu wote walikua vyema na aliekua mdogo wakati huo leo yupo class 7 wakati wakubwa zake wapo chuo huo.
Ila badae nilio na nikaongeza wengine 3...🙈
Mimi hua napenda kuwaambia wanagu kwamba...Jirani, kuna watu hawataki kukaa na watoto wao, nafuu kwao ni watoto kulelewa na watu wengine na wao kutuma pesa tu. Kuna kundi hili la wakwepa majukumu na kundi lile lingine la walioleta watoto duniani wakati hawana uwezo wa kuwalea wala kuwahuduma sababu na wao hawajiwezi kabisa.
Fair!Mimi hua napenda kuwaambia wanagu kwamba...
Kama ukiona hauna uwezo wa kumlea mwanao basi usizae
Humu wanaume hua tunaona aibu kwamba tutachekwa ama tutakosa vigori kwasababu tuna watoto shazi...😜😜😜Ulifanya vyema ingawa mzazi alikua anaona kama unamnyima haki ya kua na wajukuu zake.
Ila kaka hongera 😂..umetimiza neno
WafukuzeMie dada zangu wanne wamezalia nyumban na bado wanaishi nyumban !! Wazaz wapo kimyaa inaniumaa na sjui nifanyee nn??
🤣🤣🤣🤣🤣Humu wanaume hua tunaona aibu kwamba tutachekwa ama tutakosa vigori kwasababu tuna watoto shazi...😜😜😜
Hapa ngoja kwanza nikae kimya nina wadogo 2Wazazi ndio wanafanya haya mambo yaendelee. Kila mzazi angeweka ngumu hamna mtoto wa kike angeshika mimba hovyo. Tatizo ni wazazi kuwa maboya. Yaani kweli mzazi na akili yako mtoto wako wa kike anakuja kuzalia nyumbani na wee u akenua meno tuu...eti nalea mjukuu. Pumbaf kabisa. Watu wazima hovyoooo
Hilo sasa tatizoSi mpaka awe na hiyo akili...Kuna binti kazaa watoto nane nyumbani..na wote 80% analea Mama ake mzazi.
Tumesha fika ukomo dada, ila wananinyoosha....😓🤣🤣🤣🤣🤣
Watoto fahari..bana we jiachie tu
Yaani baba ndio yeye mwenyewe amkague binti yake mwenye miaka 25,kweli jamaniMtawalaumu mabinti bure tuu shida ni wazazi wenyewe. Huwezi kuniaminisha kwamba binti yako wa kike anaanza kugegedwa wewe mzazi usijue. Na kama hujui basi wee hufai kuwa mzazi.
Kama baba kila mwisho wa wiki unapaswa kumkagua mtoto wa kike kama anabandiliwa au lah.
Na hiyo ndiyo Raha ya kua nao Sasa..kichwa 24/7 kinapata moto..wao kwanza before kitu chochote..bado vijitabia vyao vya Raha na karaha..huna budi endelea kupambana kaka katika Hali zao zote..na endelea kumshukuru Mungu kwa ajili yao😊Tumesha fika ukomo dada, ila wananinyoosha....😓
Dah mkuu umenichekesha sana, hakika inaumiza sana na ni janga kubwa sana. Kuna kajamaa kaliwahi kumdunga mimba dada yangu halafu eti kakamkataa mazima hapo ndo nilipojua na sisi wanaume tuna kaukatili. Sio mbaya maisha lazima yaendelee tumekubali yaishe dogo anakuwa.Kiukweli haipendezi hata kidogo kuwa na tumifugo tofauti tofauti hapo nyumbani,ikibid hata wawekeeni uzazi wa mpango mpaka pale watakapopata wa kuwaoa
Ebu fikiria ni usiku wa manane na uzee wako unaamshwa umpeleke binti yako akajifungue,fikiria inakera kiasi gani wakati huo kalikompatia mimba kamepiga usingizi kanakoroma tu au kanakula mbususu nyingine kwa raha yake
Unazaa watoto kulingana na kipato chako lakin hao watoto uliozaa nao wanazaa tena kukuongezea idadi ya watoto wakati wewe uliona uwezo wako unaishia watoto wanne
Kuna wakati huwa nafikiria nijenge nyumba mbali na kwangu,binti akipata mimba naenda kumtupa huko apambane na hali yake
Hii fomula nasikia ipo nchini Botswana,kule kwao wanaume ni wachache kwaiyo wazazi wakule wakikuta jirani yao ni mjamzito waaanza kuwekeana oda,ikatokea nyumba A kazaa wa kiume na nyumba B kazaa wa kike basi palepale familia mbili zinaungana uhusiano katika malezi ya watoto haoWazazi nao wachangamkie tenda. Licha ya kuhakikisha wanawasomesha binti zao, waanzishe utaratibu wa tangu watoto wakiwa wadogo, wa kukubaliana na familia tofauti tofauti zenye watoto wa kiume, kwamba watoto waje kuoana panapo majaaliwa hapo baadae. Wanapokuwa wa umri wa kubalehe, nao wataarifiwe kuwa fulani ndie atakuwa mwema wa maisha yako na hatimaye waolewe kama ilivyopangwa kama wataridhiana. Inaweza kupunguza mapepe na kurukaruka kwa msichana na mvulana pia.
Halafu madogo kama hao Mungu anawasaidia sana kuwa na bahati katika maisha,unaweza kuta uyo dogo mbeleni akawa na maisha mazuri ndio hapo utakapoona jamaa anavyojipendekeza kurudisha majeshiDah mkuu umenichekesha sana, hakika inaumiza sana na ni janga kubwa sana. Kuna kajamaa kaliwahi kumdunga mimba dada yangu halafu eti kakamkataa mazima hapo ndo nilipojua na sisi wanaume tuna kaukatili. Sio mbaya maisha lazima yaendelee tumekubali yaishe dogo anakuwa.
Kweli mkuuMada nzuri,
Kuna tatizo kwenye malezi, watoto hawaambiwi ukweli, mtoto wa kike amesha vunja ungo usimfiche kitu, kama kamaliza kusoma na ana mchumba mwambie amlete nyumbani
Kuna jamaa yangu flani hua namshangaa sana, yani yeye amewapeleka watoto wake kwa baba na mama yake (babu na bibi) eti ndio wanamsaidia kulea.
Basi mimi hua namuuliza kwamba hizo pesa tunazo iba huku kazini anazifanyia nini?? Yaani haoni kama hizo pesa hazimsaidii na watoto wake wanakosa malezi ya baba??