umejuaje? hakuna hio kitu bhanMbinguni ni jina tu kama kusema kariakoo ila neno mbinguni linatumika kwasababu ni sehemu ambayo ipo nje ya uwezo wa mwanadamu kufika.
Ila kiuhakisia dunia inaulimwengu zaidi ya huu tunaoujua sisi na huko nako kuna maisha kama ambavyo ilivyo kwenye ulimwengu huu.
sorry mtu wa dini ivi roho kazi yake niipi kwa mtu na binadam.?Kama mtu wa dini nakubali kuna roho.Kwanini nimefikia hitimisho hili? Ni kwa sababu nimetumia msingi wa imani ambao ni muongozo kwa wenye kuamini(dini).
Kama wewe sio mwenye kuamini hauna sababu ya kuniuliza ni prove kwamba kuna roho(kwa maana nimetoa hitimisho na sababu ya kwanini nimefikia hitimisho hili)
Wewe ambaye ni mwanazuoni unatakiwa uje na kauli yako ambayo inaonyesha hakuna roho na sababu za kufikia hitimisho hilo sio kuniuliza mimi tena(Hii ni sawa na mtu wa CHADEMA akwambie kwamba Mbowe ni mwenyekiti wetu.Then,kwa sababu wewe ni CCM useme hapana afu uwaulize watu wa CHADEMA kwamba prove to me kuwa Mbowe ni mwenyekiti wenu(sio mtu wa siasa nimekupa kama mfano tu))
Nimekwishiwa hapa. Sina la kuongezea kwenye kidogo changu🙏🙏pekee ila unapokuja upande wa damu na nyama Mungu anakua hana uwezo wa kumuendesha mwanadamu.
uongoUkitaka kuwa chizi tafuta kumjua Mungu kimwili...
Ndicho nilichoona hapa.
NB: Wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu
Roho ipo na ni uhai ndio maana tupo hai, ikiondoka kwenye mwili, ndio mtu anakufa,Hujathobitisha ipo, unapiga kabobo tu.
Uhai ni nini?Roho ipo na ni uhai ndio maana tupo hai, ikiondoka kwenye mwili, ndio mtu anakufa,
Roho = Uhai
Roho ipo
Uhai ni chanzo cha maishaUhai ni nini?
Virusi vina uhai au havina uhai?
Virusi vina roho au havina roho?
Kila kiumbe kina Roho, Nafasi na Mwili katika ulimwengu wa kishikika (Physical),Uhai ni chanzo cha maisha
Sasa mbona umejibu theluthi moja tu?Uhai ni chanzo cha maisha
Virus sio viumbe hai -Sasa mbona umejibu theluthi moja tu?
Haya, bacteria nao je? Wana roho?Virus sio viumbe hai -
Viruses are not made out of cells, they can't keep themselves in a stable state, they don't grow, and they can't make their own energy. Even though they definitely replicate and adapt to their environment, viruses are more like androids than real living organisms.
Bacteria ni viumbe hai kwa sababu Wana seli (Cell) ambayo ndio imebeba nishati ya uhai ambao chanzo chake ni Roho tofauti na Virusi wasiokua na Seli (Cell) hawana hiyo nishati ya uhai mpaka wawe ndani ya kitu chenye hiyo nishati uhaiHaya, bacteria nao je? Wana roho?
Roho unaithibitishaje kibaiolojia? Unaithibitishaje kimaabara?Bacteria ni viumbe hai kwa sababu Wana seli (Cell) ambayo ndio imebeba nishati ya uhai ambao chanzo chake ni Roho tofauti na Virusi wasiokua na Seli (Cell) hawana hiyo nishati ya uhai mpaka wawe ndani ya kitu chenye hiyo nishati uhai
Roho ndio chanzo cha nishati iliyopo kwenye seli (Cell), na ndio uhai, kibaiolojia Roho ni nishati ( Energy) inayotegemeza uhai na kwenye viumbe imehifadhiwa kwenye seli (cell), seli zikiwa Kamilifu zinatoa nishati hiyo ya kutosha na zikiwa dhaifu nishati hiyo hupungua na kiisha na kisababisha hitilafu mpaka mwisho wa uhai kwa kiumbe kutokana na kukosa nishatiRoho unaithibitishaje kibaiolojia? Unaithibitishaje kimaabara?
Nishati iliyopo kwenye seli ndio imetoka kwenye Roho sawa na maji kutoka kwenye chemchemuRoho unaithibitishaje kibaiolojia? Unaithibitishaje kimaabara?
Kwa hivyo unaiita nishati roho?Roho ndio chanzo cha nishati iliyopo kwenye seli (Cell), na ndio uhai, kibaiolojia Roho ni nishati ( Energy) inayotegemeza uhai na kwenye viumbe imehifadhiwa kwenye seli (cell), seli zikiwa Kamilifu zinatoa nishati hiyo ya kutosha na zikiwa dhaifu nishati hiyo hupungua na kiisha na kisababisha hitilafu mpaka mwisho wa uhai kwa kiumbe kutokana na kukosa nishati
Nishati iliyopo kwenye seli ndio imetoka kwenye Roho sawa na maji kutoka kwenye chemchemu
Roho= Chemuchemu
Nishati= Maji
Mtu akifa maana yake mwili umekua disconnected na chanzo cha nishati yake yaani Roho, yaani mwili umefeli kupokea nishati kutoka kwenye Roho, ndio mtu anakufa, wanaposema kukata Roho Yani nishati itokayo rohoni (uhai) imekwisha ndio maana maisha ya mwili yanakomea hapo,Kwa hivyo unaiita nishati roho?
Mtu akifa, nishati haitoki mwilini mwake. Lakini mnasema mtu akifa, roho inatoka.
Hapo kuna contradiction inayoonesha roho si nishati.
Unajichanganya. Roho ni nishati au chanzo cha nishati?Mtu akifa maana yake mwili umekua disconnected na chanzo cha nishati yake yaani Roho, yaani mwili umefeli kupokea nishati kutoka kwenye Roho, ndio mtu anakufa, wanaposema kukata Roho Yani nishati itokayo rohoni (uhai) imekwisha ndio maana maisha ya mwili yanakomea hapo,
Roho ni Chanzo Cha Nishati Ya Uhai, Bila hiyo nishati ya uhai mwili haufanyi kazi.