Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

Mbinguni ni jina tu kama kusema kariakoo ila neno mbinguni linatumika kwasababu ni sehemu ambayo ipo nje ya uwezo wa mwanadamu kufika.

Ila kiuhakisia dunia inaulimwengu zaidi ya huu tunaoujua sisi na huko nako kuna maisha kama ambavyo ilivyo kwenye ulimwengu huu.
umejuaje? hakuna hio kitu bhan
 
Kama mtu wa dini nakubali kuna roho.Kwanini nimefikia hitimisho hili? Ni kwa sababu nimetumia msingi wa imani ambao ni muongozo kwa wenye kuamini(dini).

Kama wewe sio mwenye kuamini hauna sababu ya kuniuliza ni prove kwamba kuna roho(kwa maana nimetoa hitimisho na sababu ya kwanini nimefikia hitimisho hili)

Wewe ambaye ni mwanazuoni unatakiwa uje na kauli yako ambayo inaonyesha hakuna roho na sababu za kufikia hitimisho hilo sio kuniuliza mimi tena(Hii ni sawa na mtu wa CHADEMA akwambie kwamba Mbowe ni mwenyekiti wetu.Then,kwa sababu wewe ni CCM useme hapana afu uwaulize watu wa CHADEMA kwamba prove to me kuwa Mbowe ni mwenyekiti wenu(sio mtu wa siasa nimekupa kama mfano tu))
sorry mtu wa dini ivi roho kazi yake niipi kwa mtu na binadam.?
 
Ukitaka kuwa chizi tafuta kumjua Mungu kimwili...

Ndicho nilichoona hapa.

NB: Wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu
 
Roho ipo na ni uhai ndio maana tupo hai, ikiondoka kwenye mwili, ndio mtu anakufa,
Roho = Uhai
Roho ipo
Uhai ni nini?

Virusi vina uhai au havina uhai?

Virusi vina roho au havina roho?
 
Uhai ni chanzo cha maisha
Kila kiumbe kina Roho, Nafasi na Mwili katika ulimwengu wa kishikika (Physical),
Body - Power
Soul - Intercessor/ Coordinator/ Conductor
Spirit - Energy, source
 
Sasa mbona umejibu theluthi moja tu?
Virus sio viumbe hai -
Viruses are not made out of cells, they can't keep themselves in a stable state, they don't grow, and they can't make their own energy. Even though they definitely replicate and adapt to their environment, viruses are more like androids than real living organisms.
 
Virus sio viumbe hai -
Viruses are not made out of cells, they can't keep themselves in a stable state, they don't grow, and they can't make their own energy. Even though they definitely replicate and adapt to their environment, viruses are more like androids than real living organisms.
Haya, bacteria nao je? Wana roho?
 
Haya, bacteria nao je? Wana roho?
Bacteria ni viumbe hai kwa sababu Wana seli (Cell) ambayo ndio imebeba nishati ya uhai ambao chanzo chake ni Roho tofauti na Virusi wasiokua na Seli (Cell) hawana hiyo nishati ya uhai mpaka wawe ndani ya kitu chenye hiyo nishati uhai
 
Bacteria ni viumbe hai kwa sababu Wana seli (Cell) ambayo ndio imebeba nishati ya uhai ambao chanzo chake ni Roho tofauti na Virusi wasiokua na Seli (Cell) hawana hiyo nishati ya uhai mpaka wawe ndani ya kitu chenye hiyo nishati uhai
Roho unaithibitishaje kibaiolojia? Unaithibitishaje kimaabara?
 
Roho unaithibitishaje kibaiolojia? Unaithibitishaje kimaabara?
Roho ndio chanzo cha nishati iliyopo kwenye seli (Cell), na ndio uhai, kibaiolojia Roho ni nishati ( Energy) inayotegemeza uhai na kwenye viumbe imehifadhiwa kwenye seli (cell), seli zikiwa Kamilifu zinatoa nishati hiyo ya kutosha na zikiwa dhaifu nishati hiyo hupungua na kiisha na kisababisha hitilafu mpaka mwisho wa uhai kwa kiumbe kutokana na kukosa nishati
Roho unaithibitishaje kibaiolojia? Unaithibitishaje kimaabara?
Nishati iliyopo kwenye seli ndio imetoka kwenye Roho sawa na maji kutoka kwenye chemchemu
Roho= Chemuchemu
Nishati= Maji
 
Roho ndio chanzo cha nishati iliyopo kwenye seli (Cell), na ndio uhai, kibaiolojia Roho ni nishati ( Energy) inayotegemeza uhai na kwenye viumbe imehifadhiwa kwenye seli (cell), seli zikiwa Kamilifu zinatoa nishati hiyo ya kutosha na zikiwa dhaifu nishati hiyo hupungua na kiisha na kisababisha hitilafu mpaka mwisho wa uhai kwa kiumbe kutokana na kukosa nishati
Nishati iliyopo kwenye seli ndio imetoka kwenye Roho sawa na maji kutoka kwenye chemchemu
Roho= Chemuchemu
Nishati= Maji
Kwa hivyo unaiita nishati roho?

Mtu akifa, nishati haitoki mwilini mwake. Lakini mnasema mtu akifa, roho inatoka.

Hapo kuna contradiction inayoonesha roho si nishati.
 
Kwa hivyo unaiita nishati roho?

Mtu akifa, nishati haitoki mwilini mwake. Lakini mnasema mtu akifa, roho inatoka.

Hapo kuna contradiction inayoonesha roho si nishati.
Mtu akifa maana yake mwili umekua disconnected na chanzo cha nishati yake yaani Roho, yaani mwili umefeli kupokea nishati kutoka kwenye Roho, ndio mtu anakufa, wanaposema kukata Roho Yani nishati itokayo rohoni (uhai) imekwisha ndio maana maisha ya mwili yanakomea hapo,
Roho ni Chanzo Cha Nishati Ya Uhai, Bila hiyo nishati ya uhai mwili haufanyi kazi.
 
Mtu akifa maana yake mwili umekua disconnected na chanzo cha nishati yake yaani Roho, yaani mwili umefeli kupokea nishati kutoka kwenye Roho, ndio mtu anakufa, wanaposema kukata Roho Yani nishati itokayo rohoni (uhai) imekwisha ndio maana maisha ya mwili yanakomea hapo,
Roho ni Chanzo Cha Nishati Ya Uhai, Bila hiyo nishati ya uhai mwili haufanyi kazi.
Unajichanganya. Roho ni nishati au chanzo cha nishati?

Kibaiolojia chanzo cha nishati ya mwili ni jua. Tunakula vyakula vilivyopata nishati ya jua na kutumia nishati hiyo.

Hiyo roho haijawahi kuwa proved kuwa ipo kwenye maabara.
 
Back
Top Bottom