Nabii & Mch. Steven Gumbo: Kuna matukio 7 atakayoyafanya Tundu Lissu kuuangusha utawala wa Samia na CCM. Yameruhusiwa na Mungu. Hakuna wa kuzuia

Nabii & Mch. Steven Gumbo: Kuna matukio 7 atakayoyafanya Tundu Lissu kuuangusha utawala wa Samia na CCM. Yameruhusiwa na Mungu. Hakuna wa kuzuia

Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, tazama akamuona Tundu Lissu amevalishwa silaha kuu (mabomu) 7 yaliyo tayari kulipuka kupitia kwake na kuuangusha na kuusambaratisha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia matukio hayo kwa sababu ni silaha za Mungu mwenyewe na kaamua kumtumia Tundu Lissu kutimiza kusudi lake la kuiangusha/kuhitimisha utawala wa CCM ktk nchi hii ya Tanganyika...

3. Anaendelea kusema, huyu Tundu Lissu ameandaliwa vya kutosha ndani na nje ya nchi ili kutimiza kusudi hili takatifu la Mungu mwenyewe kama ambavyo Mussa alivyoandaliwa vya kutosha kuwakomboa wana wa Israel toka ktk utumwa wa mateso kule Misri. Kwa hiyo mkono wa Mungu kupitia kwa mtumishi wake huyu, utapiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili wala kuyazuia..

4. Watajaribu kuzuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi ama maneno ya propaganda zozote zile)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta kabisa CCM na utawala wake Tanganyika limetimia na kufanikiwa kwa 100%. BWANA Mungu wa Majeshi asema...

SULUHISHO
➡ Ni mtu mwenye uungu ndani yake pekee ndiye atakayezuia haya kwa kufanya mediation. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Nabii huyu anasema, mtu mwenye uungu ambaye Mungu keshamchagua kuikoa Tanganyika kutoka kwa hayawani wa CCM ni Mch na Askofu Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan na kwa kuwa utaratibu uliopo Rais lazima apitie kwenye chama cha siasa, Mungu atamfanya Rais kupitia chama chochote...!

➡ Huyu Josephat Gwajima alipo hana chama. Yuko CCM huko kupita tu kwa sababu chama cha siasa ndio utaratibu wa kuingilia kutwaa madaraka ya kisiasa ktk nchi. Mungu ataghairi kuendelea na mapigo haya iwapo Askofu na Mch. Josephat Gwajima atatumia jukwaa la CCM kuiongoza Tanganyika akiwa Rais wake...

➡ CCM wakiwa na moyo mgumu kama wa Farao, atakwenda CHADEMA na atapata jukwaa na Mungu atamwezesha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...

➡ Nao CHADEMA wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na ikitokea hivi, Mungu asema, huo ndio utakuwa mwisho wa vyama hivi vikubwa viwili vya CHADEMA na CCM na hicho chama atakachokwenda na kupokelewa, kitakuwa chama tawala na kikuu sana na kutoka hapo atakuwa Rais wa nchi hii...

➡ CCM mnaonywa kuacha mara moja kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake kwa kuwa itawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

Kwa hiyo huyo Mungu wake amesema Lisu atapona au atakufa?

Bangi na konyago havifai kutumia ndio unaenda madhabahuni 😆😆
 
Hawa matapeli ndio walidai.kuna karatasi nyeupe italetwa na wazee wa CCM ya kumtangaza mgombea Urais.

Wagombea wamepigishwa na hakuna hiyo karatasi 😆😆
Usibeze!

Cyprian Musiba anachokisema kwenye clips zake zinaashiria waliomtuma wana jambo Fulani la kusapoti ushindi wa upinzani na sio CCM ya Mama!!

Ukijaribu kusikiliza Kwa makini ninkwamba CCM ya mama imepoteza mvuto hata kama inatumia fedha na wasanii kibao lakini wats wameidharau ndio maana uchaguzi wa chadema ulifuatiliwa na wananchi japo hawakua na wasanii!

Kama unaakili timamu utakua unaelewa Musiba anafanya KAZI na kina nani na ni mkubwa kijasusi kiasi gani na ujumbe anaoutoa una maana gani!

Na kama unabisha nenda Rondo kamuulize RIP niguse ninuke Msiba ana uzito Gani Hadi kadinaki pengo amshauri niguse ninuke aachane na kesi Ile na baada ya niguse ninuke kwenda na kesi ikafa!

Fikiria kama mwanaccm mwenye akili mtambuka na sio chawa!!

INAWEZEKANA CHADEMA WASISHINDE URAIS LAKINI WAKASHINDA UPINZANI WENGINE WALIOANDALALIWA KUSHINDA KWA MGONGO WA CCM TANGANYIKA!

NAWAZA!
 
Usibeze!

Cyprian Musiba anachokisema kwenye clips zake zinaashiria waliomtuma wana jambo Fulani la kusapoti ushindi wa upinzani na sio CCM ya Mama!!

Ukijaribu kusikiliza Kwa makini ninkwamba CCM ya mama imepoteza mvuto hata kama inatumia fedha na wasanii kibao lakini wats wameidharau ndio maana uchaguzi wa chadema ulifuatiliwa na wananchi japo hawakua na wasanii!

Kama unaakili timamu utakua unaelewa Musiba anafanya KAZI na kina nani na ni mkubwa kijasusi kiasi gani na ujumbe anaoutoa una maana gani!

Na kama unabisha nenda Rondo kamuulize RIP niguse ninuke Msiba ana uzito Gani Hadi kadinaki pengo amshauri niguse ninuke aachane na kesi Ile na baada ya niguse ninuke kwenda na kesi ikafa!

Fikiria kama mwanaccm mwenye akili mtambuka na sio chawa!!

INAWEZEKANA CHADEMA WASISHINDE URAIS LAKINI WAKASHINDA UPINZANI WENGINE WALIOANDALALIWA KUSHINDA KWA MGONGO WA CCM TANGANYIKA!

NAWAZA!
Musiba ni wa kupuuzwa tu,

kubabaika nae ni kujipotezea uelekeo na kuanza kuamini imani za akina Makenzi wa Kenya huko shakahola na Kibwetere wa huko uganda.

ni muhimu kujiepusha kujitumbukiza kwenye kuzingati mambo ambayo yanahubiriwa na watu wa aina za akina Makenzi, Kibwetere na Musiba kwenye siasa makini za ndani ya ccm imara na madhubuti zaidi kuliko wakati mwingine wowote tangu uhuru :NoGodNo:
 
Musiba ni wa kupuuzwa tu,

kubabaika nae ni kujipotezea uelekeo na kuanza kuamini imani za akina Makenzi wa Kenya huko shakahola na Kibwetere wa huko uganda.

ni muhimu kujiepusha kujitumbukiza kwenye kuzingati mambo ambayo yanahubiriwa na watu wa aina za akina Makenzi, Kibwetere na Musiba kwenye siasa makini za ndani ya ccm imara na madhubuti zaidi kuliko wakati mwingine wowote tangu uhuru :NoGodNo:
Ndivyo mulivyo chawa!hamna macho Wala masikio!

Poleni,kama musiba ni mjinga kwanini Sasa!!?

"Haifanyiki Kwa bahati mbaya,Kuna kitengo Cha propaganda pale ikulu, sio jpm wala Diwani Athumani anaejua beacon za nchi zilipo" de'levis
 
Ndivyo mulivyo chawa!hamna macho Wala masikio!

Poleni,kama musiba ni mjinga kwanini Sasa!!?

"Haifanyiki Kwa bahati mbaya,Kuna kitengo Cha propaganda pale ikulu, sio jpm wala Diwani Athumani anaejua beacon za nchi zilipo" de'levis
sasa gentleman,
unamuaminije mtu kama Musiba? huenda tatizo likawa ni lako binafsi, kwasababu mtu makini na timamu hawezi kubabaika na siasa za Musiba hata kidogo.

na hakuna haja ya kuhusisha taasisi na watu muhimu nchini, wasio husika na mambo mepesi na yasio na athari kabisa kisiasa nchini kama yanayosemwa na huyo unaemuamini, ambae kimsingi ni makosa mabaya kabisa kufanya hivyo kama mwanafunzi wa siasa anaetarajia kujitegemea baadae :NoGodNo:
 
Kuna mtu atakuja kupata kesi ya uhaini siku moja, ndio watajifunza hekima na kuacha uroporopo

Torati inasema unabii usipotimia huo ni wa uongo, huyo nabii auwawe, msimuonee huruma, wakiambiwa hivi wanaanza kurukaruka Kama maharage.

Hivi kuna nabii amewahi kumtabiria hivi Kagame, anajua kinyesi kitatokea mdomoni, hata Kama yupo TZ
 
Kuna mtu atakuja kupata kesi ya uhaini siku moja, ndio watajifunza hekima na kuacha uroporopo
Hii ni Ishu ya imani rafiki..

Ili ku - prove kuwa ni kweli au uongo ni kusubiri..

Lakini ukiwa ni mtu wa rohoni, utaelewa kuwa ishara zote za haya yaliyosemwa ziko wazi na zunathibitisha unabii..

Huu utekaji na mauji unadhani ni kwa sababu gani..?

Kama hujui ni kutimizwa kwa unabii huu...

Bibie huyu (Samia Suluhu Hassan) analazimisha kubaki madarakani ili hali hatakiwi, amekataliwa na watu pamoja na Mungu...

Asipoona na kutii kwa hiari yake mwenyewe, nakuambia hivi KWA HAKIKA KABISA ATAKUFA...!!
Torati inasema unabii usipotimia huo ni wa uongo, huyo nabii auwawe, msimuonee huruma, wakiambiwa hivi wanaanza kurukaruka Kama maharage.
Subiri uone. Halafu uwe wa kwanza kuchukua jiwe kurusha ili uue..

Nakushauri toa dhana ya usabato wako hapa, maana haiwezi kufanya kazi...!
Hivi kuna nabii amewahi kumtabiria hivi Kagame, anajua kinyesi kitatokea mdomoni, hata Kama yupo TZ
Wewe unaonaje..?

Inajulikana kabisa kuwa shetani akiwa ndani ya mtu ni hatari sana...

Hakubali utawala wake kuanguka kirahisi...

Unamkumbuka Eliya na Yezebeli dhidi ya miungu ya baali..?

Lakini Yezebeli aliishia wapi..? Na Elijah je..?

Soma maandiko uyaelewe...
 
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...

Anachokisema hapa kinafikirisha na kutafakarisha sana na naileta hapa kushea na kujadili kwa pamoja..

View: https://youtu.be/ZkpUq7GLWNA?si=Xpc7IPhxvY9y4_Mw

Kwa ufupi sana anasema:

1. Ameoneshwa na Mungu kuwa, tazama akamuona Tundu Lissu amevalishwa silaha kuu (mabomu) 7 yaliyo tayari kulipuka kupitia kwake na kuuangusha na kuusambaratisha kabisa utawala wa CCM na Samia....

2. Samia, CCM na serikali yake watajaribu kupambana naye lakini hawataweza kuzuia matukio hayo kwa sababu ni silaha za Mungu mwenyewe na kaamua kumtumia Tundu Lissu kutimiza kusudi lake la kuiangusha/kuhitimisha utawala wa CCM ktk nchi hii ya Tanganyika...

3. Anaendelea kusema, huyu Tundu Lissu ameandaliwa vya kutosha ndani na nje ya nchi ili kutimiza kusudi hili takatifu la Mungu mwenyewe kama ambavyo Mussa alivyoandaliwa vya kutosha kuwakomboa wana wa Israel toka ktk utumwa wa mateso kule Misri. Kwa hiyo mkono wa Mungu kupitia kwa mtumishi wake huyu, utapiga haya matukio haya yenye utalaamu wa hali ya juu ambayo CCM hamtaweza kuyakabili wala kuyazuia..

4. Watajaribu kuzuia tukio hili, litazuka jingine upande huu likiwa na nguvu zaidi kuliko lile walilozuia mwanzo. Matukio haya hayazuiliki kwa kuwa yana nguvu ya uungu ndani yake na Mama Samia hana nguvu ya kuzuia hayo kwa njia za kibinadamu (polisi au Jeshi ama maneno ya propaganda zozote zile)...

5. Hata ikitokea CCM mkijaribu kumuua Tundu Lissu na mkafanikiwa, jopo lake litatekeleza ajenda hii kwa ukamilifu hadi kusudi la Mungu la kuingamiza na kuifuta kabisa CCM na utawala wake Tanganyika limetimia na kufanikiwa kwa 100%. BWANA Mungu wa Majeshi asema...

SULUHISHO
➡ Ni mtu mwenye uungu ndani yake pekee ndiye atakayezuia haya kwa kufanya mediation. Samia Suluhu Hassan hana uungu ndani yake. Nabii huyu anasema, mtu mwenye uungu ambaye Mungu keshamchagua kuikoa Tanganyika kutoka kwa hayawani wa CCM ni Mch na Askofu Josephat Gwajima. Huyu ndiye anapaswa kuchukua nafasi ya Samia Suluhu Hassan na kwa kuwa utaratibu uliopo Rais lazima apitie kwenye chama cha siasa, Mungu atamfanya Rais kupitia chama chochote...!

➡ Huyu Josephat Gwajima alipo hana chama. Yuko CCM huko kupita tu kwa sababu chama cha siasa ndio utaratibu wa kuingilia kutwaa madaraka ya kisiasa ktk nchi. Mungu ataghairi kuendelea na mapigo haya iwapo Askofu na Mch. Josephat Gwajima atatumia jukwaa la CCM kuiongoza Tanganyika akiwa Rais wake...

➡ CCM wakiwa na moyo mgumu kama wa Farao, atakwenda CHADEMA na atapata jukwaa na Mungu atamwezesha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...

➡ Nao CHADEMA wakimkataa, atakwenda chama kingine. Na ikitokea hivi, Mungu asema, huo ndio utakuwa mwisho wa vyama hivi vikubwa viwili vya CHADEMA na CCM na hicho chama atakachokwenda na kupokelewa, kitakuwa chama tawala na kikuu sana na kutoka hapo atakuwa Rais wa nchi hii...

➡ CCM mnaonywa kuacha mara moja kumsikiliza Jakaya Kikwete, ushauri na mipango yake kwa kuwa itawaangaamiza na kuwapoteza kabisa...

➡ CCM achaneni na Samia Suluhu Hassan kujaribu kumlazimisha kuwa Rais wa nchi hii kwa kuwa HAWEZI KUWA maana Mungu alishamkataa, na watu (wananchi) hawamataki....

➡ Wanaomtaka Bi Samia Suluhu Hassan ni wale wataka vyeo tu na wezi wanaotaka kuendelea kutumia udhaifu wake kuibia nchi...

➡ Mkimlazimisha, basi atakwenda kuaibika na kufedheheka sana na pia fedheha na aibu hiyo itaambatana na kumwaga damu za watu, kuua watu sana...

Tazama na sikiliza mwenyewe hiyo video clip hadi mwisho...

Nimecheka hadi nimepaliwa baada ya kuona jina la gwjima
 
Back
Top Bottom