Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Acha ujinga wewe,
Kama haujui hiyo sehemu kaa kimya ili wanaojua wachangie pia wasiojua wapate kujua.

Hayo masiasa yenu yanawachanganya hadi inapelekea kila mada mnaona ni mabishano tu.
Hovyo kabisa wewe.
Swali lake lina ubaya gani? Wapi ameingiza siasa mpumbavu wewe.
 
Usisahau alisema ni nyumbani kwa chawa na kunguni na mnalala kimbanano hakuna kukunja miguu nyooka km rula

Unasikia sikia huku wanasema chawa chawa chawa sasa chawa halisi ukitaka kuwaona wanaonekanaje nenda Jela utawaona
Kwamba hajawahi kukaa hata mahabusu?,chawa kunguni ni marafiki kwa kila mtu wa gerezani,kuna muda unajitenga na suruali zako unabinya kamoja kamoja kuwapunguza
 
Akili Yako Ndio Silaha Hatari sana na Bora mnoo Kuliko Silaha Yoyote ile Uliyobahatika Kuifahamu....Jifunze Zaidi Kutumia Akili Yako Kisawasawa.
 
Asante sana mkuu ,inanibidi nijifunze haraka sana
 
Wauzaji wa silaha ni lazima watakuwa wanauza
 
Kwamba hajawahi kukaa hata mahabusu?,chawa kunguni ni marafiki kwa kila mtu wa mela,kuna muda unajitenga na suruali zako unabinya kamoja kamoja kuwapunguza
Nyumbani kwa chawa na kunguni ni huko chanzo ni uchafu ndio maana sabubi ni Dhahabu kule
 
Akili Yako Ndio Silaha Hatari sana na Bora mnoo Kuliko Silaha Yoyote ile Uliyobahatika Kuifahamu....Jifunze Zaidi Kutumia Akili Yako Kisawasawa.
Hayajakukuta,ama hujishughurishi na michongo yenye kuvutia kuvamiwa,ikiwa hivyo utaona umuhimu wa kuwa na silaha ya moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…