Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Nahitaji kujua sehemu ama taasisi zinazotoa mafunzo ya matumizi sahihi ya silaha

Nenda Tanganyika Arms Limited.

Nje ya mada: Unaweza niuliza chochote kuhusu kujilinda binafsi, matumizi ya silaha flani flani na nyenzo katika kujilinda na matukio ya kimafia.
Kujihami kimapigano ni mbinu na hizo mbinu lazima ujifunze na uzijue kuzitumia, wapi na kwa namna gani, uchague kutumia mbinu gani kulingana na tukio husika unalokutana nalo.

Kwa dokezo tuu: Kanuni ya kwanza unapotaka kujihami dhidi ya hatari yeyote ni ile ya kuwa wa kwanza kushambulia. Unapohisi hatari kuwa wa kwanza kushambulia ndio kanuni ya kwanza, iwe vitani, vibaka, watekaji vyovyote iwavyo hakikisha unakuwa wa kwanza ushambulia kwa namna flani.

Mfano: Naishi kwenye mtaa korofi, wenye umafia na ubandidu uliokithiri. Nimeishi hapa kwa miaka mingi, Vibaka wote labda wageni wanajua habari zangu hapa mtaani.
Ushauri: Kama wewe ni mtu wa kawaida na hujawahi kupaka msasa "kozi" yeyote ya ukakamavu na matumizi ya silaha basi jifunze hata kutumia "Pepper Spray". It works guys
 
Nenda Tanganyika Arms Limited.

Nje ya mada: Unaweza niuliza chochote kuhusu kujilinda binafsi, matumizi ya silaha flani flani na nyenzo katika kujilinda na matukio ya kimafia.
Kujihami kimapigano ni mbinu na hizo mbinu lazima ujifunze na uzijue kuzitumia, wapi na kwa namna gani, uchague kutumia mbinu gani kulingana na tukio husika unalokutana nalo.

Kwa dokezo tuu: Kanuni ya kwanza unapotaka kujihami dhidi ya hatari yeyote ni ile ya kuwa wa kwanza kushambulia. Unapohisi hatari kuwa wa kwanza kushambulia ndio kanuni ya kwanza, iwe vitani, vibaka, watekaji vyovyote iwavyo hakikisha unakuwa wa kwanza ushambulia kwa namna flani.

Mfano: Naishi kwenye mtaa korofi, wenye umafia na ubandidu uliokithiri. Nimeishi hapa kwa miaka mingi, Vibaka wote labda wageni wanajua habari zangu hapa mtaani.
Ushauri: Kama wewe ni mtu wa kawaida na hujawahi kupaka msasa "kozi" yeyote ya ukakamavu na matumizi ya silaha basi jifunze hata kutumia "Pepper Spray". It works guys
Judo Taikwando Karate Wushu Taiwoo TaiChi blackbelt
 
Zingatia kituo Mombasa Usawa wa Ofisi za Nida kwa nyuma kwa hio km una gari utazunguka na barabara kwa nyuma km unaelekea Mzambarauni utaona kota za Polisi kwa Mbele utaona Jengo limeandikwa Field Force Unit umefika sogea ofisini jielezee
Jichanganye ukarushwe kichura chura...Mii Simo!
 
Hamna mtu kaenda JKT kwa mujibu anajua kutumia silaha kwa usahihi. Labda kama unasema aliyewahi kushika silaha
Utimamu wa akili wengine zikiwa zinafyatuliwa wanashikwa na wazimu kwa hio utimamu wa akili ni suala la lazima kichaa asiguse Silaha ataua kijiji kizima
 
Labda sijamuelewa, yeye amesema kutumia sio kumilki
Soma vizuri huko juu, emu nitajie bank ambayo inalindwa na mlinzi wa kike mwenye Silaha unaijua bank yoyote inayolindwa na Mwanamke mwenye Silaha? Kwanini bank hazilindwi na walinzi Wanawake wenye Silaha?
 
Soma vizuri huko juu, emu nitajie bank ambayo inalindwa na mlinzi wa kike mwenye Silaha unaijua bank yoyote inayolindwa na Mwanamke mwenye Silaha? Kwanini bank hazilindwi na walinzi Wanawake wenye Silaha?
Wapo wengi wanawake wanalinda benk
We unaishia wap
 
Wapo wengi wanawake wanalinda benk
We unaishia wap
Nitajie bank hata 3 tu ambazo Wanawake wanalinda na Mtutu wa Bunduki wameuvaa Muda wote au bank mbali nitajie Sheli au kituo cha Mafuta kinacholindwa na Mwanamke mwenye mtutu wa Bunduki ameuvaa muda wote?

Wanaotenga post za askari kwenye vituo hawawezi wakafanya hio risk hata siku 1 ni one hell of the big risk anything can happen anytime anapokonywa Silaha sehemu nyingi hutowakuta wamepewa Silaha, wanaopewa Silaha ni Wanaume Mwanamke anawekwa km Observer tu hapewi Silaha
 
Nitajie bank hata 3 tu ambazo Wanawake wanalinda na Mtutu wa Bunduki wameuvaa Muda wote au bank mbali nitajie Sheli au kituo cha Mafuta kinacholindwa na Mwanamke mwenye mtutu wa Bunduki ameuvaa muda wote? Wanaotenga post za askari kwenye vituo hawawezi wakafanya hio risk hata siku 1 ni one hell of the big risk anything can happen anytime anapokonywa Silaha
Nenda ATM 🏧 ya benk usiku utawaona
We unadhani kulinda benk ni kazi ngumu
Jambazi Gani aje kuvamia benk na technology ilivoenea hivi
 
Nenda ATM 🏧 ya benk usiku utawaona
We unadhani kulinda benk ni kazi ngumu
Jambazi Gani aje kuvamia benk na technology ilivoenea hivi
Nimekwambia Bank hivi una akili wewe ATM ndio Bank? Nimekwambia Bank sio ATM hakuna Bank inayolindwa na mlinzi askari wa kike km yupo basi amewekwa km Observer tu tena hapewi Silaha anakua tu km wahudumu wengine wa bank sio mlinzi likipigwa bomu analala chini km wateja wengine wa Bank hatopambana
 
Back
Top Bottom