Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali, mpenzi wangu ana mimba

"ana sura mbaya, rangi siipendi, hana shepu"

And you claim that she is not critical? .
. Logic Yako wewe iko wapi? ... sijaona reason yako Bado inayofanya uwe na mchecheto
Si umeambiwa nyege hujaelewa? wanaume hatunaga akili nyakati hizo
 
Mkiambiwa mtulie hamsikii ila twende turudi nyuma haya mambo yasikie kwa mwingine yakikukuta ndio huwa unaona rangi zote za upinde
 
Tafuta hela babu nyege umalizie kwa mademu wazuri, hata ikitokea bahati mbaya watoto wasikulaumu.
 
Haya sasa bora ya mie ambaye hz vitu sijawahifanya, maana matukio yake ndo kama hayo sasa bro apo hauna namna.
 
Kwa masikitiko makubwa, mchana huu Nimepokea taarifa ya "nahisi Ni mimba"

Ujuwe Nilikuwa nachukulia simple nikimuona mtu anashtushwa na taarifa Kama hii lakini leo nahisi kichwa kimewaka Moto na nimekosa utulivu Hadi kwa Mara ya kwanza nimetamani kunywa pombe.

Sijawahi kumpenda Bali Ni nyege ndiyo zimenikutanisha naye for one night, tukapima UKIMWI, tukafanya mapenzi

Sababu zinazonifanya niumize kichwa Ni kwamba;
1. Ni single maza alafu hakuniambia mapema
2. Hana muonekanao unaonivutia na muda wote niliokaa naye hajawahi kuwa na mazungumzo yenye tija au maswali critical, Jambo linalonifanya nidhani kwamba Hana akili au future yeyote.
3. Anapafahamu ninapofanyia kazi hivyo nikizingua anaweza kunichoea kwa muajiri

4. Hanivutii, Hadi nivute taswira ya mwanamke mwingine ndipo nikojoe.

5. Umri kanizidi miaka miwili

Nahitaji msaada wa mawazo tafadhali. Ila kutoa mimba nahisi itakuwa Hatia itakayonisumbua muda mrefu.
Sasa kama uliziona hzi kasoro zote unazomtolea binadamu mwenzako ulilala nae wa nn aisee wanaume bna pambana na hali tu hakuna namna
 
Sasa wewe umewahi hata kushauri mtu?
Mtu anaomba ushauri anaambiwa hebu tuma picha😂
Umewahi ona picha ya tatizo?
Mie ushauri wangu kwani hujauona hapo juu🤣🤣🤣
 
Pole kwa stress na hongera sana baba kijacho.
Kama hukumpenda ulitakiwa kuwaza hilo la mimba, kama hukuweza kutumia ndom basi ungejitahidi kuzijua siku zake kama kaka yako DeepPond afanyavyo.

Mlee mwanao na ikibidi umuoe kabisa huyo binti. Mnawadis singo maza na nyie ndio wamiliki wa viwanda vya kuwachakata hao singo maza.
 
Ukiwa mfanyakazi ogopa Sana kwenda kavu mzee hata akisema ameweka kinga mm hata tupime na U.T.I siwezi enda kavu kwa mwanamke nisiye na malengo nae
 
Umejitangaza vizuri muanzisha 'sred' sijuajua kama umelijua hilo
 
Back
Top Bottom