Naibu Waziri Mkuu majukumu yake Kikatiba ni yapi? Wafahamu waliowahi kuwa Manaibu Waziri Wakuu nchini

Majaliwa ni kama mke aliyeletewa mke mwenza.Pole Majaliwa.
 
Majaliwa ana wakati mgumu. Tufunge siku tatu bila kula kitimoto rost na mirinda nyeusi tukimwombea. Biteko atamfunika Majaliwa fasta... haya mambo ni magumu sana ukiyatafakari. Ila nimefurahi mgombea urais mtarajiwa kwa tiketi ya CHADEMA ndugu Mnyeti naye kateuliwa.
 
Acha uongo wewe,kama wewe ulidanganywa,acha kuwadanganya wengine
Kwa ujumla Katibu haina kifungu kinachoanzisha ofisi ya naibu Waziri Mkuu. Ni uvunjaji wa Katiba wa mamlaka na kukosa watendaji thabiti wa kushauri Rais.
 
Ila Biteko ni mchapakazi na hana blaa blaa. Majaliwa pia ni mzuri. Kwa hiyo hakuna kitachoharibika.
 
Tukimaliza haya ya teuzi turudi kwa DP World. Tusijisahau please.
 
Ila Biteko ni mchapakazi na hana blaa blaa. Majaliwa pia ni mzuri. Kwa hiyo hakuna kitachoharibika.
Lakini kutokana na maelezo ya great thinkers above the position is null and void and will cost us huge
 
Aliyemshauri kuhusu Biteko kweli kampa ushauri mzuri. Huyu ni chuma hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…