Naibu Waziri Mkuu majukumu yake Kikatiba ni yapi? Wafahamu waliowahi kuwa Manaibu Waziri Wakuu nchini

Nadhani hujaelewa
 
Nianze kwa kusema Ulale Pema Peponi Shujaa Magufuli

Sitashangaa kijana wako Dr Dotto Biteko akawa mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya Chama chetu CCM

Hakika Uzalendo wako ni Urithi Wetu

Mungu ni mwema Wakati Wote!
 
Nadhani hujaelewa
Nilichoelewa ni kwamba umesema katiba imevunjwa na rais. Sasa nimekuwekea kifungu kilichotajwa na bwana Petro E. Mselewa cha kwenye katiba kukuonyesha kuwa rais hajavunja katiba, bali ametumia madaraka yake kwa mujibu wa katiba ya JMT. Kama maelezo hayo bado yanakuambia sijaelewa, naomba unieleweshe ulimaanisha nini.
 
Nianze kwa kusema Ulale Pema Peponi Shujaa Magufuli

Sitashangaa kijana wako Dr Dotto Biteko akawa mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya Chama chetu CCM

Hakika Uzalendo wako ni Urithi Wetu

Mungu ni mwema Wakati Wote!

Nani atakubali kuongoza na mrundi?
 
Ni msaidizi bamba moja wa Waziri Mkuu.

Majaliwa anasaidiwa kikazi. Inaonesha afya yake si nzuri.
Una anzaje kuzungumzia afya ya mtu mwingine wewe ni msemaji wa familia ya waziri mkuu au dactari wake...

Tufafanulie...

Asylum alycum
 

Pengine huelewi “bila kuathiri” ina maana gani
 
Nani wa kufanya mapinduzi Tanzania?
Tisi wengi wao ni uvccm
 
Mwalimu mwingine kaongezewa kuongeza nguvu
Ni hivyo tu yaan
 
Lyatonga hakuandaliwa kuwa Raisi, aliwekwa hapo kisiasa, yaani kupooza nchi maana yeye ndio alikuwa anaaaminika.
 
Nani wa kufanya mapinduzi Tanzania?
Tisi wengi wao ni uvccm
Haya unayoyaona na kusikia ndio Mapinduzi yenyewe. Kuanzia sakata la DPW na maijadala inayoendelea|Kesi za Wazalendo Mahakamani|Jeshi kudai mitumba | na hii shuffle ya Cabinet....itoshe, yanayojiri huko Sudan-Mali-Burkina Faso-Gabon-Niger..
Kumbuka hata huko hakuna aliyetegemea mianguko hiyo?
 
Maybe, yawe tu yenye maslahi na taifa yasiwe yenye maslahi na kikundi cha wachache
 
Naona Hiyo Wizara ya Madini inatakiwa iwe chini ya Uangalizi wa Karibu wa Waziri Mkuu maana kulikuwa kuna Mambo mengi saaana
Ni Naibu Waziri Mkuu na pia Waziri wa Nishati. Huko Madini kahamishwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…