Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Ubunge wa kuteuliwa yule.
Kama ni wa kuteuliwa sawa ila hata hao waliomteua ilitakiwa wawe na file lake ,wajue historia yake vizuri kama ni mzuri katika public speaking,vyeo kama hivyo vinataka mtu "MPAYUKAJI" mtu mwenye "TANTALILA NYINGI" kama walijua ni muoga muoga na wakemtua basi ni HATARI ipo siku watakuja kumteua KONKI PIERE LIKWIDI.
 
Alikua anasema baraza la mapinduzi..according to wadau.so alikua anachapia,kila akirudia anachapia.
 
Nidhamu ya woga + ushirikina ndio tatizo.
 
Kuna mtu ana PHD lakini alishindwa kutamka "Entrepreneurship"akaishia kusingizia eti si lazima msomi kujua Kiingereza. Sa mbona huyu kashindwa kuapa kutokana na wasiwasi anafukuzwa? Uonevu tu![emoji15][emoji15][emoji15]
Alisema,,,eeee,ndiyo,hiyo hiyo mliyoitaja.
 
Jambo dogo lakini limeanzishiwa nyuzi kibao! Hii inaasiria kuwa watu wengi (nchini) wana misongo ya mawazo, kikitokea kitu kidogo tu wanapata fursa ya kutapika
Ha ha ha, unaweza kuwa sahihi.
 
Kuna mtu ana PHD lakini alishindwa kutamka "Entrepreneurship"akaishia kusingizia eti si lazima msomi kujua Kiingereza. Sa mbona huyu kashindwa kuapa kutokana na wasiwasi anafukuzwa? Uonevu tu![emoji15][emoji15][emoji15]
Intapritinyua.....kwa kiswahili mnaita ujasiriamali.
 
Kuna mtu ana PHD lakini alishindwa kutamka "Entrepreneurship"akaishia kusingizia eti si lazima msomi kujua Kiingereza. Sa mbona huyu kashindwa kuapa kutokana na wasiwasi anafukuzwa? Uonevu tu![emoji15][emoji15][emoji15]
 
Hivi tatizo ni kutokujua kusoma au kutetemeka na uoga?
 
Kuna mtu ana PHD lakini alishindwa kutamka "Entrepreneurship"akaishia kusingizia eti oooh!si lazima msomi kujua Kiingereza. Sa mbona huyu kashindwa kuapa kutokana na hofu anafukuzwa? Uonevu tu![emoji15][emoji15][emoji15]
 
Huyo jamaa kafunga mwaka 2020 kwa hicho kituko chake.....hata hiyo kazi ya ubunge hataifanya kwa weledi.....huyu jamaa anahitaji uangalizi mkubwa sana maana anaweza kujinyonga

Emire Durkheim concept yake ya Suicide inanionyesha ivyo........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…