Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Mimi siamini kama hajui kusoma vizuri.
Dunia ina mengi,tumuombe Mungu atuongoze.

Kama nafasi ni yake naamini ataipata tu,hiyo roho ya kukataliwa iliyomvaa iishie mbali.

Btw nimeumia Sana kwa ajili yake.
Arudi kuomba msamaha wale wana vijiji aliowadhulumu haki zao kwenye sanduku la kura kwanza kabla ya yote
 
Kinachoangaliwa ni utendaji au uwezo wakuapa?
 
Mimi siamini kama hajui kusoma vizuri.
Dunia ina mengi,tumuombe Mungu atuongoze.

Kama nafasi ni yake naamini ataipata tu,hiyo roho ya kukataliwa iliyomvaa iishie mbali.

Btw nimeumia Sana kwa ajili yake.
Mambo my dearest..! Link ya kutizama yakiyotokea kwa Ndulane iko wapi nione ..! Sijaiona
 
Kuna taratibu za kimizimu ya ukoo wake amekiuka
 
Huyo jamaa atajuta mkulu atamnanga kila opportunity atakayopata! Na kuna uwezekano asipate tena cheo tena ndani ya awamu hii.
 
Leo mkewe hatomwelewa kabisa yaani alishajua anakuwa mke wa waziri halafu mume kaharibu😄!

Anyways shit happens
 
Bwege kamfanya mtu kuwa bwege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…