minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Arudi kuomba msamaha wale wana vijiji aliowadhulumu haki zao kwenye sanduku la kura kwanza kabla ya yoteMimi siamini kama hajui kusoma vizuri.
Dunia ina mengi,tumuombe Mungu atuongoze.
Kama nafasi ni yake naamini ataipata tu,hiyo roho ya kukataliwa iliyomvaa iishie mbali.
Btw nimeumia Sana kwa ajili yake.