Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Jamaa baada ya uteuzi alifanya bonge la sherehe.... Nimemuonea huruma daah!
 
Nakwambia hivi, kama mwenye IQ kubwa bado yupo mtaani na mwenye IQ ndogo katoka, nani mwenye IQ kubwa hapo?

Kwanini ukubali kuongozwa na uliyemzidi uishie kulalamika tu badala ya kuchukua hatua na kubadilisha mustakabli wako?
Kwa iq yako ndogo na ujinga uliojaa kichwani kwako unajua kutoka kimaisha ni kuwa na iq kubwa. Unaweza kuta mtu mwenye akili na iq kubwa hana smart phone we mjinga unayo. Naomba itungwe sheria wajing kama wewe wasimiliki smart phone.
 
CCM
Nasikia wateule wa rais huwa wanafanyiwa vetting ya hali ha juu.

Nani huwa anamfanyia rais vetting? Mpaka anampa majina ya watu ambayo hawawezi hata kusoma kiapo na kutamka!

Hawa watu mbona kama wamemtia doa mkuu wa nchi, maana sinawahi kushuhudia mtu akitumbuliwa kwa kushindwa kusoma kiapo na kutamka!

Hii inaleta picha gani? Kuwa kama ni kweli kwamba watu wanaomfanyia vetting mkuu wa nchi hawako makini mpaka wanampa majina ya watu ambao wanashindwa kuapa!

Au ni mambo ya kijamii yameitawala Tanzania,ndio maana watu wengi wenye IQ kubwa huwezi kuwakuta kuwa ni viongozi?

Inasikitisha sana kwa Taifa ambalo linajinasibu kuwa ni moja ya taifa kubwa hapa Afrika mashariki, waziri mdogo anashindwa hata kusoma na kula kiapo. Nafikiri maneno aliyosema Askofu Rashid kuwa wengi wa wabunge wa CCM walipita kwa mgongo wa kiongozi wao wa chama,sababu 70% walikuwa hawana uwezo na hata kukubalika ilikuwa ni kwa mashaka

Kwa ujumla aliyeshindwa kuapa na aliyemtumbua wote wameaibika.
CCM imejaa majizi, atakuwa aliiba vyeti
 
Walisoma kwa kiingereza?
Kama kusoma kwa kiingereza ndio lazima uweze kuongea kiingereza vizuri basi wabongo wengi wangekuwa wanapiga ung'eng'e huko mitaani maana wamesoma kwa kiingereza na wamefanya vizuri kwenye masomo yao.
 
Ndo dalili za UTAWALA uliofeli..
Haijawahi kutokea hii.
Ukiwa Stressed huwa wanajinyea au kujikojolea achilia mbali kushindwa kusoma mbele ya watu. Hii kisaikolojia inatokea pale mtu anapokuwa na hofu au kuwa overwhelmed juu ya jambo ambalo amelisubiria kwa muda. Wengine siku ya kwanza kukutana na mpenzi wake aliyemtolea nje kwa muda mrefu basi huwa wanashindwa kunaniliu. Asamehewe apige kazi
 
Unawaza hao? Mkeo utamuambia nini akuelewe?
Alishajua anaenda kuwa mke wa naibu waziri.

Ukijaribu kumla mate hii ndio picha atayokuwa anaiona machoni pake: Ng'ombe
giphy.gif
Hahahahahahaa
 
Wabongo nuksi! Wamemvizia siku ya kuanza kazi rasmi kwa kuapishwa ndio wampige kipaipai. Kwanza huyu jamaa ni msomi, na Mungu atamlipia.
 
Ila hatuwezi kujua alichokuwa anapitia huyo waziri unawezakuta alikuwa haoni maandishi au anaona vitu vyengine kabisa,yote yanawezekana uchawi upo.
 
Well, FA yupo vizuri na ana matumizi mazuri sana ya lugha labda ashindwe kwenye utendaji.

Huyo Tale kusoma shida, kujenga hoja ndo kabisa.
FA kwenye kampeni alikuwa anabwabwaja tu labda ata improve kwasababu ya usanii utambeba ila Tale tale ni Mweupe yaani hana anachokijua zaidi ya kuwaibia wasaniii na fitina kwenye sanaa.
 
Back
Top Bottom