Atamsubiri kwani anakaa huko huko mpk kifo chake?? π€£Dadekii mtakuja paramia majini kelebuu..
Mwambie umepata safari ya kikazi hivyo kesho unasafiri na utafunga nyumba yako hadi mwezi ujao.
Bon voyage..!
Huyo wake aoe, amuache akutane na vivuruge km hajamkumbukaMpaka nguo umenunua kupika anakupikia na hana makuu mpole mstaarabu Sasa ubasubiri Nini?
Kipengele kitakachokusumbua maisha Yako n Dating app
Roho mbaya hiyo π€£π€£π€£Mwambie umepata wageni ghafla
Huyo ni mkewe π€£π€£π€£Kama umeshamkula tayari umeshaunganishwa naye, hapo ni hadi kifo kiwatenganishe.
Ni mpenzi wako huyo usimkimbie.
Akili za watu wa sku hizi zinatia mashakaIla walimwengu mna ujasiri hasa. Sasa mtu humjui undani wake unamuweka ndani kwako. Ghafla akikata moto utapeleka wapi maiti. Ukute hata jina lake halisi hulijui.
Watu wanatembea na magonjwa yao, mara ukute ni kichaa usiku mmoja anaanza kukucharaza mboko ndani humo.
Siku zote mwanamke unaekutana nae juu kwa juu hata siku moja usimpeleke nyumbani kwako. Mbona lodge zipo nyingi.
Hii kauli narudia kila siku, mtaani kugumu. Watu wapo tayari kukaa hata na zimwi ilimradi tu awe na hifadhi ya uhakika.
Sasa ukute hizo nguo ulizomkuta nazo ndio pekee anazomiliki, halafu ghafla unampeleka shopping, ndugu yangu hata wewe ungekuwa huyo demu ungetaka kuondoka tena?
Huyo ni mkeo tayari, mwambie akuonyeshe kwao tu maisha yaendelee.
Sepaaa nisikukute haponifukuze tu bwan wew hakukua na haja ya kunitangaza uku [emoji27]ukirud hunikut
nshasepa unajkuta nan bwan,,kunilisha ugali mlenda kila siku unajiona biiichwa
Kuna mdau kanijibu kuwa ni special Apps,tena kaitaja Badoo.Nasubiri jibu na mie, [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwingine amenitajia Badoo.Kuna kitu kinaitwa TINDER etc... Htr sana
Mbona ulikua unakula?nshasepa unajkuta nan bwan,,kunilisha ugali mlenda kila siku unajiona biiichwa
ππππ Hahahaha umeshindaMbona ulikua unakula?
Kimtu chenyewe kina njaa kama ya Kijiji
Unakula hadi ukoko??
Sepaaa nisikukute hapo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nikiwa na nyege ntakuchek ila sio kuishi pamoja wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hahahaha umeshinda
Sawa nakusubirNikiwa na nyege ntakuchek ila sio kuishi pamoja wote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
umefukuza sio mda afu nije tena geto kwako
Kwani kuna tatizoumefukuza sio mda afu nije tena geto kwako