Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nikwambie bro wala usimfukuze huyo mke umeletewa na Mungu kwa njia ya ajabu.! Wewe cha kufanya muulize kwao muishi kwa amani, halafu acha kumix datting app na social media. Nna uhakika huyo mdada mmekutana Fb 🤣🤣🤣
Halafu na wewe umempenda ndiomana ukampiga na shopping ya viwalo. Ww ni mtu mwema sana na mpole.!! Pls usimfukuze mama wa watoto wako.
Halafu na wewe umempenda ndiomana ukampiga na shopping ya viwalo. Ww ni mtu mwema sana na mpole.!! Pls usimfukuze mama wa watoto wako.