Najuta kuoa mwanamke kutoka Kanda ya Kaskazini

Moderator wa JamiiForums sijui kwa nini mnaruhusu mada za kutunga za kuchafua kabila au jamii ya watu fulani
Huyu member kaanzisha ten mada nyingine akiwatukana wasukuma, sijui mnafanya kazi gani
Hili jukwaa limekua na utoto mwingi sana
Lakini hukukemea kule kwa wasukuma ila hapa unakereka, daaah...! Unafki ni kipaji [emoji87]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Naona hapa kuna vita inatafutwa dhidi ya Waisrael
 
Mchakato wako wa kuoa wa kishamba sana brooh nakusihi tumia akili Sana katika decision making yaani kiss kula mzigo tu unavutwa ukwwni na wanadai ndoa na wewe unaona sawa TU !!

KUWA MAKINI SANA KATIKA SUALA LA KUOA USIKURUPUKE WALA USIKURUPUSHWE UKAKURUPUSHIIKA !!

[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwani una nini? ..maana hujaeleza kitu. Usikute una bodaboda 2 tu unamsingizia mtoto wa watu. Ukioa mchaga lazima ujue katufuta pesa. Sio una vihela unafikiri una pesa.
 
Anadai alioa ili asionekane 'dhaifu' huyu jamaa mjinga sana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Badala upambane, unaanza kulia. Mkeo kaona kama anaishi na mwanamke mwenzake ndiyo maana anataka kukupoteza.
 
Kwani una nini? ..maana hujaeleza kitu. Usikute una bodaboda 2 tu unamsingizia mtoto wa watu. Ukioa mchaga lazima ujue katufuta pesa. Sio una vihela unafikiri una pesa.
Hapa sasa mkuu unawapa sifa wanawake wa kichaga ama unawakandia?
 
Women value strength in men they desire. They already have a pussy they don’t want to deal with another one.
 
Peace in not an option
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…