Ukijifanya fala hawakupigi sana .wakati wa kuandikisha maelezo wangejua ni mtoto wa waziri wangemuachiaPolisi wanaweza kukuua, kama hutaki kutoa rushwa kwa polisi na huna ki chh huu cheo basi tumia wakubwa lasivyo utakufa au kufungwa maana polisi wengi siyo waadilifu
Askari wetu wakati mwingine ni waongo, yaani wanaweza kutunga uongo. Ndiyo maana uchunguzi unahitajika. Polisi wanaweza piga picha hata magari yaliyoko kituoni na kusema kagonga haya magari. Siyo wa kuwaamini.Unaona ni sawa kugonga gari na akimbie,jee huko mbele kwa watumiaji wengine wa barabara wana usalama gani?
Acha fix mkubwa gani wewe mnajuanaMaaskari ni mambwa sana. Kuna kipindi waliniletea shida, walipogundua nafahamiana kwa ukaribu na mkubwa wao walivyogeuza maneno hadi sio poa
Umeongea pointMi sijui hata mnataka kutetea Nini hapa. Hebu Kuna kipindi acheni ushirikina nyie watu. Yaani baada ya kuona hizo clip zote Bado mnataka kumtetea? Ama kweli watanzania nyoko asee.
Ushaambiwa TII SHERIA BILA SHURTIWamemrekodi clip nyingi nyingi tu kuanzia nje hadi ndani ya kituo, na wao wana makosa. Aligoma kuingia kituoni ikabidi wamfosi wakawa wanamsukuma ndio maana akawa anatukana pale ndani ya kituo na yeye anataka kulipwa kwa kudhalilishwa
HahahaaaaKwahiyo wanamjua kuliko baba yake aliyesema Dogo Hana adabu ashughulikiwe kama muhalifu mwingine
Inategemea kauli gani walikuwa wameshaongea naye. Ukifika kuandikisha ujue kiwango cha rushwa kinaongezeka, yaani rushwa ya kufuta kosa, rushwa ya kutoka kituoni na rushwa ya kubadilishiwa kosa (maana ukifika kituoni huwa wanabadilisha kosa mfano ulimpiga askari etc).Ukijifanya fala hawakupigi sana .wakati wa kuandikisha maelezo wangejua ni mtoto wa waziri wangemuachia
Ni kweli, hao polisi wame edit clip za kumdhalilisha dogo, yaani hawana adabu kabisa. Natamani wafukuzwe kaziPolisi ni Washenzi sana, wanamchokoza mtu halafu wanarecord. Watoe video nzima ya jinsi walivyomkasirisha kwa kumpiga. Hii ni shida ya kuwachukua failure wote na kuwajaza kituo kimoja
Ulitaka watembee ili wamkamate,kila k2 kimejidhirisha,acheni kuchanganya pumba na mcheleShida kubwa sana ipo kwa jamaa zetu.
Tukio limetokea namba za gari mmezipata, mmiliki mnamfahamu, kuna haja gani kumkimbiza?
Shida imetokea hakuna kifo, wahusika wapo tayari kuyamaliza Nyie mnang’ang’ania twende kituoni, wakafanye nini?.
Ila pia kuna kipimo cha pombe ili kuthibitisha kiasi alicholewa dereva, je hicho kilifanyika?
Ya wezekana alikuwa element anakunywa Maji.
Hivi leo hii wakipanda mahakamani nani anashinda kwa mazingira kama hayo.?
Kila mtu akitimiza wajibu wake hatuwezi fika huku.
Hujanielewa,kwa mtoto wa waziri wakati wakiandikisha maelezo wakijua wewe ni mtoto wa waziri wanakuachia bila rushwa na samahani juuInategemea kauli gani walikuwa wameshaongea naye. Ukifika kuandikisha ujue kiwango cha rushwa kinaongezeka, yaani rushwa ya kufuta kosa, rushwa ya kutoka kituoni na rushwa ya kubadilishiwa kosa (maana ukifika kituoni huwa wanabadilisha kosa mfano ulimpiga askari etc).
Mkuu unamtetea huyu kijana unamjua??? Mh simbachawene ametoa tamko ni baba yake mzaz...anamjua mwanae...nakumbuka 2020 huyu kijana alifunga hasur pale tabata...tena ilihudhuriwa na watu wachache sana caz kipindi hicho ndio corona ilikuwa imepamba moto...GTs,
Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na je, ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?
Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askali ili atoe rushwa ila baada ya hao askali kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?!
Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.
Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii. Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Lakini wasi wasi wetu ni hayo mazingira na tabia za polisi kubambika watu makosa, hii tabia yao ikomeshwe hao askari. Iwapo wakifanikisha iko siku watakudhalilisha hata wewe. Yaani polisi wajue saikolojia ya kudeal na watuhumiwa na siyo kutumia njia ambazo hazijengi.Mkuu unamtetea huyu kijana unamjua??? Mh simbachawene ametoa tamko ni baba yake mzaz...anamjua mwanae...nakumbuka 2020 huyu kijana alifunga hasur pale tabata...tena ilihudhuriwa na watu wachache sana caz kipindi hicho ndio corona ilikuwa imepamba moto...
Kijana kama ni mke alipata...binti ni mzur haswa...elimu yake safi...muajiriwa sehem...na akahamishwa baada ya kufunga ndoa...ni wife material kwa kweli...kwa yule binti nilijua tuu kijana kapata mke
Mh alipopata wasaa wa kutoa neno katika shughuli ile...hakuwa mnafiki...alipiga pale pale...lakin ni kama alimaanisha kijana apunguze starehe....na kipnd hicho mkwe alikuwa mjamzito...
Nakumbuka zawadi mzee aliyo itoa ni mifuko ya cements akamuamuru....hku akimwambia ninacho weza kukusaidia ni hii mifuko kadhaa ya cement...so binafsi nasimama na kauli yake..,
Kama kuna makosa yamefanyika basi sheria ichukue mkondo wake...hii kaul binafs hainipi wasi wasi caz nikikumbuka maneno yake miaka miwil iliyopita...sina cha kusema...