Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe


Mkuu kama hautojali rekebisha, ni askari sio askali
 
Hivi alikuwa anaendesha gari akiwa amelewa au la?

Ukiwa mtoto wa kiongozi unapaswa kujua namna ya ku behave.
 
Yaan kilichotokea hapa ni kutunishiana misuli..binafsi naheshimu sana askari...
 
Kwa nini msinge mfinya kimyakimya Kama mnavyo fanyaga kwa wa halifu wengine!? Kulikua na ulazima gani wa kuchukua mavideo, huyo Dogo mlikua hamshindwi kumkamata na kumtupa selo ili utaratibu wa kisheria ufuatwe ikiwepo na kuwajulisha ndg zake!! Kama ni pombe au chai yote mngeyasoti kwa utaratibu sahihi!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Vipi na yule jamaa kwenye wheel chair,naye kapangwa amsingizie dogo?
Hayo mambo mbona hata kipindi cha JPM tena akiwa waziri,hatukuwahi kusikia kwa watoto wake kukosa nidhamu?
Tulee watoto vyema.
 
Ukipigwa picha ukiwa mlevi utafurahia?
Huwezi kumkuta mtoto wa Bosi wako amelewa then unashadadia kumpiga picja za kuziposti,
Mfano: Huwezi kumpiga picha mtoto wa Samia akiwa mlevi na kuziposti huko ni kukosa adabu!
Kwamba mtoto wa mkubwa huwa hafanyi makosa sio?
 
Huyu dogo kama atapelekwa gereza la keko basi tuhesabu maumivu Kwa familia yake kwasababu Kwa jinsi alivyo na mwili mteketeke sijui kama atasalimika
Umaskini unasababisha mnakuwa na roho mbaya, aende jela Kwa kesi gani? Mawakili wote hawa kazi yao ni nini? hiyo kesi siyo bailable?

Kwanza traffic case ni kesi za faini tu, na kama kutukanwa hao Polisi huwa wanatukanwa sana mahakamani na mahabusu, wasengerema tu.

Huyo mtoto amefanya kosa kama human being na siyo kama mtoto wa Simbachawene, tuache roho za kimaskini.
 
Kwani walijua kama ni mtoto wa mkubwa sidhani kama wangefanya hvyo.
 
Una stress za maisha wewe, huna la maana
 
mwanafamilia ya walamba asali tumeelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa kiongozi unataka na nyie tuanze kuwapa ving'ora barabarani?...haya hayo magari sita yaliyogongwa nayo kasingiziwa?

Hivi ninyi watoto wa viongozi huwa mnasali kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyetukana siyo minor mshtaki yeye.

Kwani wewe aliyekutuma umshtaki Simbachawene ni baba yako au moyo wako?

Inaonekana kama wewe nawe hauna malezi mazuri kama mtoto wa Joji
 
Kwani walijua kama ni mtoto wa mkubwa sidhani kama wangefanya hvyo.
No kitendo cha makusudi walichokifanya, kwanza Mimi nachukia sana hii tabia ya kutumia simu vibaya, hawa ndio mazuzu huwa yanapiga Picha mpaka maiti.

Mimi simu yangu mpaka nitumie camera ujuwe nimefika sehemu imenivutia sana ndio huwa natumia camera kupata kumbukumbu.
 
umeambiwa Askari sio askali...huyo dogo sisi hatumfahamu...tumemfahamu baada ya tukio...muwe na adabu ninyi watoto wa wakubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…