Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Nani aliwadanganya CHADEMA wamponde Hayati Magufuli majukwaani!!? Hili jambo litawanyima kura miaka elfu

Inawezekana kabisa kwamba magufuli alikuwa na madhaifu yake, na inaweza isiwe dhambi kumsema vibaya. Ila kwa watu wenye malengo ya kutafuta kura Kwa wananchi wa kawaida walipaswa kupotezea kabisa habari za magufuli.

Kuna baadhi ya mambo ambayo hata magufuli angekuwepo naamini asingebadili chochote lakini alishawaaminisha watu Imani ambayo ni ngumu kufutika katika kizazi kilichowahi kuyaona na kuyasikia maamuzi yake.

Ukweli ni kwamba kumsema vibaya magufuli ukiondoa kujipoza machungu na kuwapoza machungu wahanga wachache wa utawala wake hakuna tija yoyote linapohusika suala la kuongeza kura.

Magufuli mwenyewe alizoea kuwasema vibaya watangulizi wake lakini alitenda jambo lililowaaminisha watu kuwa inawezekana ni kweli watangulizi wake walikuwa na shida.

Unapomponda magufuli huku vitu vinapanda bei, umeme unakatika hovyo rushwa na urasimu na mauzauza mengi serikalini unakua hujui unalotenda.

Licha ya matatizo ya magufuli lakini sio uongo kwamba bado ana waumini wake wengi pengine kuliko kiongozi mwingine yeyote wa hivi karibuni hapa nchini. Hivyo hata kama unamchukia Kwa kiwango gani Kwa ajili ya kulinda kura ni bora ukapitezea kabisa mada zinazomhusu.
Hao wanaomsema ungevaa viatu vyao vikuenee vzr kabsa usingewashangaa. Ndo maana Mkapa hasemwi hivyo na kikaete hata semwa hivyo. Waulize walichofanyiwa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020. Ukae ukijua wale ni Wana siasa na kazi yao ni siasa na hawakuwa na jukwaa lolote la kuyasema haya kwa miaka saba. Na ukijifanya mjanja unakutana na mkono wa Bashite na Sabaya unatolewa uhai
 
Hao wanaomsema ungevaa viatu vyao vikuenee vzr kabsa usingewashangaa. Ndo maana Mkapa hasemwi hivyo na kikaete hata semwa hivyo. Waulize walichofanyiwa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020. Ukae ukijua wale ni Wana siasa na kazi yao ni siasa na hawakuwa na jukwaa lolote la kuyasema haya kwa miaka saba. Na ukijifanya mjanja unakutana na mkono wa Bashite na Sabaya unatolewa uhai
Hawa usiwatetee angesemaje Mandela aliyefungwa miaka 27 jela yet usingemsikia akisema vibaya juu ya serikali iliyomtesa hivyo.

Hawa wanachukua mateso waliyoteswa binafsi yawe mateso ya watanzania wote. Tukiwa na viongozi wa namna hii tutatengeneza kina magufuli wapya ila katika sura nyingne kiongozi lazima uwe na moyo mkubwa.
 
Hicho ni chama cha hovyo sana Si bure mpaka sasa hakina hata ofisi na si bure miaka yote inaisgia kuwa failure kwenye chaguzi, Hivi unaanzaje kumuongelea vibaya Magufuli mbele ya watanzania na utegemee watakuelewa? Hapo ndipo walipofeli, Wananchi hawana umeme, maji mgao n.k laiti kama wangejikita kuongelea hayo na kuchukua yale mazuri ya JPM wangeshinda kwa kishindo.
Huna haki ya kumwongelea yeyote, mahaba yako kwa fashisti hayatuhusu sisi. Angekuwa na nguvu hizo kwa nini alivuruga uchaguzi? Kwa nini aliogopa tume huru Ili ashinde kwa haki?
 
Hawa usiwatetee angesemaje Mandela aliyefungwa miaka 27 jela yet usingemsikia akisema vibaya juu ya serikali iliyomtesa hivyo.

Hawa wanachukua mateso waliyoteswa binafsi yawe mateso ya watanzania wote. Tukiwa na viongozi wa namna hii tutatengeneza kina magufuli wapya ila katika sura nyingne kiongozi lazima uwe na moyo mkubwa.
Acha ubinafsi dogo, mateso kwa watz wenzetu ni yetu sito na ndio maana tunawaunga mkono. Hatupendi ubaguzi na hatuhitaji ubaguzi
 
Serikali yenyewe unaiona iko sawa? Wote ni walamba asali.Maridhiano my foot! Unadhani Chiba angeweza kumshinda JPM una akili timamu wewe chawa? Hizo asali sijui mnalambia makalio
Wewe hata kiungo unachotumia kufikiria kina walakini ni si ubongo maana ungekuwa na chembe ya akili.

Serikali haiko sawa ya Magufuli ilikuwa sawa?
Pumbavu wewe anayelamba na anayelambisha asali ni nani? Term ya sukumagang failures kujiliwaza
Upumbavu uliofanywa na dikteta Magufuli uliifikisha nchi njia panda ilibidi wenye akili wawatafute wenye ushawishi kwenye siasa nchini waridhiane na sasa tension imeisha nchini lakini nyie mbwa mlipkuwa mnanufaik
Ndiyo maana nasema machawa hamna akili timamu, Uhai wa waliokufa kwa tozo au kwa umeme kukatika wakiwa ICU au kwa huduma mbovu za afya mtaweza kufidia? Au wao sio watu? Watu wanateseka maisha yamekiwa magumu kila kitu bei juu huku mkiwa busy kulamba asali mara semina hafla ziara za kipumbavu! Endeleeni kulamba asali lakini iko siku
wewe pumbavu mzoefu hoja ya tozo na CHADEMA vina uhusiano gani? Kwanza nani aliyekufa kwa tozo?
Pili pumbavu wewe kukatika kwa umeme ni kosa la utawala?
Kwa nini masukumagang ni mipumbavu kiasi hiki? Kwa hiyo mungu wenu wa Chato alikuwa ana uwezo juu ya tabianchi? Angezuia ukame? PUMBAVU kubwa.

Yaani aliokuwa anawaua tusiwakumbuke mbona nyie mnamtetea mfu mauaji mkubwa? Mimi siyo mjinga wa CCM lakini kulinganisha na lile shetani bora afe tena huko aliko
 
Mie sijawahi kuwaelewa hao watu wa JPM wasimpompa kura Chadema ndio watampa Samia ambaye ndio anamng'onga JPM Kila kukicha!!?

Tatizo sukuma gang hawana option wakimpigia Samia Yale Yale wakimpigia Chadema Yale Yale wote hawaivi na JPM. So hoja Yako ingekua mashiko kama kungekua na chama Cha tatu ambacho ni loyalists wa JPM but since hakipo then hakuna kura ya Chadema itapotea labda tu watu wa JPM hawatopiga kura ndio madhara pekee nayoona.

Mie sijawahi kuwaelewa hao watu wa JPM wasimpompa kura Chadema ndio watampa Samia ambaye ndio anamng'onga JPM Kila kukicha!!?

Tatizo sukuma gang hawana option wakimpigia Samia Yale Yale wakimpigia Chadema Yale Yale wote hawaivi na JPM. So hoja Yako ingekua mashiko kama kungekua na chama Cha tatu ambacho ni loyalists wa JPM but since hakipo then hakuna kura ya Chadema itapotea labda tu watu wa JPM hawatopiga kura ndio madhara pekee nayoona.
Mkuu zitto,naamini wewe ni kati watu wasomi/maarufu na mkongwe humu jf.
Hivi wapinzani kumponda Magufuli kama Magufuli bila kuihusisha ccm ni sahihi?

Chadema kwenye uchaguzi inashindana na ccm au na Magufuli?

Umedai hapo kwamba sukuma gang(ambapo mi ni mmojawapo japo ni mmakuwa) hawana option nyingine,kwamba wakimpa Samia(ccm) moto wakiwapa chadema moto,tafsiri yake unaridhishwa serikali ya ccm?
 
Labda wagombea wa sukuma gang ndio mtamtumia kuombea kura. CDM hawahitaji kuungwa mkono na sukuma gang yoyote. Kama angekuwa na ushawishi wa hivyo angechezea chaguzi kipindi chake akiwa rais?
Sasa kama mnayajua hayo kwa nini mnamponda!? Halafu huo uchaguzi mnaodai mmeibiwa hamkuweka mawakala?
 
Jambo hili halifanyiki kwa bahati mbaya,kwa sababu wale wanaoyafanya haya.tunawajua na tunawaelewa historia zao.Ni ushirika ulioundwa makusudi ili kutimiza malengo yao upya.
Ndio hao wanaogawana keki ya nchi hii kama ilivyokuwa mazowea kabla ya 2015.
Wengine wakijiita walamba asali.

Kuanzia EPA,RICHMOND MEREMETA, SYMBION POWER na ma uozo lukuki yaliykuwa yameichungulisha kaburi "CCM."
Ikiwemo na ile HOME SHOPPING CENTER ambayo sasa ndio SILENT OCEAN. Ambayo Mzee Asali Junior aliwauxia kiwanja cha CCM.kinyemela wakati akiwa K/M CCM asali ilee!
Ambapo sasa ndio makao makuu yao hao "Bahari kimya".

Pale alipoingia Magufuli na kuanza kuusafisha huu uozo.
Na ndipo CCM na wafuasi wake walipopata nguvu mpya ya kukijenga upya chama.
Hadi leo wanapopata nafasi ya kumsimanga wakati akiwa hayupo tena mbele za familia yake!

*Magufuli kafa na kuacha...
*IKULU mpya ya Chamwino.
*ATCL mpya.
*SGR Mpya.
*Nyumba mpya za Magomeni.
*Mabweni Mapya UDSM.
*Daraja jipya la Tanzanite.
*Daraja jipya la Wami.
*Bwawa jipya la umeme JNHP.
*Stendi kuu za mabasi za kisasa Dodoma,Morogoro na Mwanza.
*Meli mpya Ziwa Victoria na ukarabati wa Mv Victoria.
*Meli Mpya ziwa Nyassa.
*Ndege na Helikopta mpya jeshini.

Pia kanunua Rada mpya nne nchini na kuondoa utegemezi wa Rada za Kenya.

Akafhibiti utoroshaji madini Mererani kwa kujenga ukuta na akaanzisha madoko huru ya madini nchi nzima.

Akazuia utoroshaji wa fedha kupitia utitiri wa Bureau de change mitaani.

Akarudisha nidhamu kwa watumishi sekta ya Umma na hakusita kutumbua mtu kwa uzembe hata kama alikuwa rafiki yake kama Charles Kitwanga.

Akaondoa vyeti feki na mushahara hewa nchi nzima.

Amekufa na kuiacha Tanzania ikiwa uchumi wa kati tukiwa kasi ya ukuaji ya 7.1%.

Yote haya ameyafanya ndani ya miaka mitano.halafu wajinga fulani wanajikusanya na kudhani wanaweza kuja kuizima legacy ya mtu kama huyu kwa kusjiri wajinga fulani mitandaini ili kumtukana?

Itakuwa ngumu sana hilo kutokea na labda mkabomowe hiyo miradi na kuwauwa wale wote wanamkubali na kumkumbuka Magufuli.
Wewe kama siyo Ndondocha basi utakuwa Ruhani moja kabambe sana la baharini , Magufuli alikuza uchumi gani ?
 
Mimi ni CHADEMA lakini kwa suala hili chama kinazingua sana, kuna haja gani ya kuhangaika na mtu aliyetangulia kwa Mungu?
Huoni haja Kwa sababu wewe ni mjinga usiyejua hata maana ya "historia"

This is not about John P. Magufuli as a person. John P Magufuli anajadiliwa na ataendelea kujadiliwa si Kwa sababu nyingine yoyote bali kama mtu aliyewahi kuwa Rais wa nchi hii kwa kuangazia alama (footprints) za uongozi wake alizoacha kwa kuangazia pande zote yaani ule wa UBAYA au UZURI wake..

Na hivi historia itaachaje kumrekodi na kumulika kwa kurunzi kali mtu kama huyu aliyewahi kuwa kiongozi mkuu wa nchi ( Rais) kwa kuangazia alama (footprints) za uongozi wake alizoacha?

Afikiriye kuwa hili linaawezekana, basi huyo ni mpumbavu na mjinga asiyeelewa na anayestahili kupuuzwa kabisa...!

Tatizo kubwa la mtu wenu huyu yaani hayati John P. Magufuli ni kuwa, ameacha alama ya ubaya mwingi kiasi cha kufunika mazuri kidogo aliyofanya...

Sasa nyie watetezi wa legacy yake kila mkijitutumua kutetea mazuri yake, mnajikuta graph imelalia upande wa wale wanaomwandika kwa ubaya...

Na mkiona hivi ndo hapo mnapoamua kuweka mpira kwapani na kuanza kuropoka hovyo kama hivi unavyofanya wewe.!!

Kwa hiyo, HAIWEZEKANI John P Magufuli kuacha kusemwa iwe ni kwa njia ya maandishi, majukwaa ya kisiasa au mijadala mbalimbali ya midomo...

Wewe kama una zuri la kusema juu yake, liseme na wala hakuna wa kufanya lolote. Vivyo hivyo wanaosema mabaya yake, acha waseme na kama unapinga, yapinge kwa ku - replace na mazuri uone kama utaweza..!!
 
Tangu 2015 mpaka 2020, CHADEMA walikuwa wakimponda Magufuli na bado kura wakapewa nyingi (japokuwa ziliibiwa), sembuse sasa ambapo hata maCCM (yaliyokuwa yakimuona Magufuli kama mungu wao fulani kwa kumsifia) yamegeuka na kumtukana vibaya Magufuli.
Lisu alipata kura 1800000s,Lowasa alipata 6000000s,.
Inamaani uchaguzi wa 2020 chadema ilipata kura chache ukilinganisha na 2015.
Na hii yote ni matunda ya kumtusi Magufuli, wananchi wakawakataa,msikwepe ukweli.
 
Sasa kama mnayajua hayo kwa nini mnamponda!? Halafu huo uchaguzi mnaodai mmeibiwa hamkuweka mawakala?

Kuna wakala anaweza kufanya lolote mbele ya usalama wa taifa? Ama unadhani ule uhayawani haukuwa unaonekana, ama unadhani tumesahau nini kilifanyika?
 
Hawa usiwatetee angesemaje Mandela aliyefungwa miaka 27 jela yet usingemsikia akisema vibaya juu ya serikali iliyomtesa hivyo.

Hawa wanachukua mateso waliyoteswa binafsi yawe mateso ya watanzania wote. Tukiwa na viongozi wa namna hii tutatengeneza kina magufuli wapya ila katika sura nyingne kiongozi lazima uwe na moyo mkubwa.
Injustice to one is an injustice to all
Uonevu kwa mtu mmoja ni uonevu kwa wote

Injustice anywhere is a threat to justice everywhere
Udhalimu popote ni udhalimu pote.
 
Kuna wakala anaweza kufanya lolote mbele ya usalama wa taifa? Ama unadhani ule uhayawani haukuwa unaonekana, ama unadhani tumesahau nini kilifanyika?
Siyo kweli,mkubali tu kwamba Magufuli alikuwa raisi kipenzi cha watanzania na ndio maana mkazabwa 2020
 
Nyie wapumbv na wajinga huyo mjinga Mapombe aliharibu nchi akaua watu ,akapiga risasi so mlikuwa hamuoni wajinga nyie huyo Jamaa yenu
Swala maendeleo yalikuwepo bhana,sisi wanyonge wa hali ya chini ndo tunajua umuhimu wake maswala ya kuu sijui kupiga risasi hayo ni maswala yenu ya kisiasa kwani siasa ni mchezo mchafu!
 
Mie sijawahi kuwaelewa hao watu wa JPM wasimpompa kura Chadema ndio watampa Samia ambaye ndio anamng'onga JPM Kila kukicha!!?

Tatizo sukuma gang hawana option wakimpigia Samia Yale Yale wakimpigia Chadema Yale Yale wote hawaivi na JPM. So hoja Yako ingekua mashiko kama kungekua na chama Cha tatu ambacho ni loyalists wa JPM but since hakipo then hakuna kura ya Chadema itapotea labda tu watu wa JPM hawatopiga kura ndio madhara pekee nayoona.
Awe ACT wanakuja kwa kasi sana na kuna uwezekano mkubwa wa kuwa chama kikuu cha upinzani
 
Nyie wapumbv na wajinga huyo mjinga Mapombe aliharibu nchi akaua watu ,akapiga risasi so mlikuwa hamuoni wajinga nyie huyo Jamaa yenu
Kipindupindu kiliua sana watu hapa tanzania hadi jpm alipo shika nchi ...pia aldino waliuliwa sana hapa tz hadi jpm alipo shika nchi ...sasa tuambie hao awakuwa watu ....pia majambazi yaliua sana hapa tanzania hadi alipo shika nchi jpm .....sasa kwenu watu ni wahuni tu wanao tumikia mabeberu na chanjo zao feki za kovidi
 
Mie sijawahi kuwaelewa hao watu wa JPM wasimpompa kura Chadema ndio watampa Samia ambaye ndio anamng'onga JPM Kila kukicha!!?

Tatizo sukuma gang hawana option wakimpigia Samia Yale Yale wakimpigia Chadema Yale Yale wote hawaivi na JPM. So hoja Yako ingekua mashiko kama kungekua na chama Cha tatu ambacho ni loyalists wa JPM but since hakipo then hakuna kura ya Chadema itapotea labda tu watu wa JPM hawatopiga kura ndio madhara pekee nayoona.
Saa 100 moja ni [emoji90] kama [emoji90] tu hakuna mpumbavu wakumpa kura hata yeye ana jua vizuri ....kitu pekee ambacho anategemea yeye na wahuni wenzie wa msoga ni kujaribu kutumia nguvu za dola kubaki madarakani kwa sababu wana hofu ya kifo cha JPM
 
Back
Top Bottom