Nani ana akili kuliko wote JF?

Nani ana akili kuliko wote JF?

Sijawahi kuwaza kwamba kuna member ambaye anaweza kuwa kipanga in general lakini natambua kwamba humu ndani kuna vichwa ni msaada mkubwa sana katika field zao so kwa upande fulani ni magenious lemme appreciate them:
Wa kwanza ni CHIEF MKWAWA huyu jamaa kwenye masuala ya Information technology yupo juu sana hakuna tatizo ambali hana solution nalo ni msaada mkubwa sana kwa watu

Kwenye field ya magari na vyombo vya usafiri kuna ndugu yangu Extrovert na jamaa yangu JITU LA MIRABA MINNE
Binafsi Pascal Mayalla Humble African @Da'vinci na yule jamaa kwenye jukwaa la international forum anayechambua Silaha huwa nawachukulia magenious kwa mtindo fulani hivi bila kusahau Mshana Jr na LIKUD..Halafu kuna mwamba anaitwa Nguruvi3 nae naweza kumuweka kama genious...@Scars nae naweza kumuweka kwenye list ingawa si muanzishaji wa thread sana ila michango yake nae imejaa nondo nikiendelea kuwakumbuka watu nitaupdate comment..Ila hata mimi ni genious lakini sio kwa jamii forums maana nikiri wazi jamiiforums imenifanya nijue vitu vingi sana yaan mada yoyote itakayoanzishwa sehemh nilipo basi ntakuja na nondo kali sana na hii yoe ni kutokana na Jf,kwenye vijiwe vya kahawa wananikubali kinoma lakini hii ni kutokana na mchangi wa jamiiforums,hata Melo nilishwahi kumwambia hii tulipokuwa tunachati facebook
Salute
 
Mbona hao Watu wako hawakuja na Ugunduzi / Ubunifu wa Mtandao huu / kama huu wa JamiiForums?

Kwa mfano Wewe mwenyewe tu unabishana nami hapa kupitia Mtandao walioubuni Wao sasa Wewe na Wao nani ni 'Genius' hasa?
Kati ya aliyegundua waya na aliyetengeneza computer, yupi ana akili nyingi?
 
Maxence Melo na Mwenzake Mike Mushi kwani bila Juhudi zao, Akili zao na Ubunifu wao wa Kutukuka leo hii kusingekuwepo na hili Jukwaa ( Jamvi ) linalotupa Kiburi na Kutujenga Kifikra hadi Kimtazamo wengi Wetu.

Pongezi zangu nyingi sana tu Kwao.
Hawa si walengwa, hawa wana nafasi zao za kipekee, kinachozungumzwa hapa ni member mwenye akili jf, hawa hawamo kwenye kundi la members
 
Wakali ni wengi sana siwezi kutaja but sincerely speaking you all nourish my life dear comrades. JF ibarikiwe sana
 
Back
Top Bottom