Nani kaiona chupa ikiwa kwenye makalio? Daktari kathibitisha? Wanasiasa kuweni makini na hila za mitandaoni

Nani kaiona chupa ikiwa kwenye makalio? Daktari kathibitisha? Wanasiasa kuweni makini na hila za mitandaoni

1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji ilipakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuwchwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Usaliti ni laana
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji ilipakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuwchwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Sexless upo pamoja nami dada Una maono
 
Kama ili kuthibitisha kosa kosa Hilo ni mpaka tuwe na ushahidi wa mtu aliyeona chupa ikiwa matakoni basi watu wengi wanaofanyiwa ukatili wa kingono kama ubakaji wangeshindwa kuthibitisha kuwa wametendewa unyama Huo .

kwani most cases unakuta hakuna aliyeona...ila ushahidi mwingine unaonesha kuwa ni kweli mhanga Fulani ametendewa kitendo hicho.
 
Kama ili kuthibitisha kosa kosa Hilo ni mpaka tuwe na ushahidi wa mtu aliyeona chupa ikiwa matakoni basi watu wengi wanaofanyiwa ukatili wa kingono kama ubakaji wangeshindwa kuthibitisha kuwa wametendewa unyama Huo .

kwani most cases unakuta hakuna aliyeona...ila ushahidi mwingine unaonesha kuwa ni kweli mhanga Fulani ametendewa kitendo hicho.
Hapana mkuu. Kesi nyingi za ubakaji huwa zinafeli kwa kukosa ushahidi. Ili mahakama imtie mtu hatiani ni lazima kisu (uume) kionekane kikiwa kwenye ala (uke) ama daktari akute manii(shahawa ) ndani ya uke na hizo shahawa baada ya kipimo cha DNA zithibitike kuwa ni za mtuhumiwa. Vinginevyo hakuna kesi hapo.

Kwahiyo usidanganywe
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.

View: https://www.youtube.com/watch?v=NQc0-S0gQyw
 
Siamini kama hizi tuhuma zimetengenezwa,
Nahisi mmetengeneza chats ili kumsafisha Gekul, Binadamu kama Wanyama.

Weka na tarehe ya Chats ili kudhibitisha kua amesingiziwa!!!
Unafikiri tuko humu kukushawishi? Kwa kipi ulichonacho? endelea kauamini unachoamini ila wape ruhusa na wenzanko waamini wamachoamini mwisho wa siku Mungu ataamua
 
Ila hata mimi tangu siku ya kwanza nilihisi kuna mchezo mchafu umefanyika kwenye hili sakata. Nakumbuka nilishambuliwa sana na baadhi ya vibaraka wa Bashite.

Kimsingi hili sakata limejaa utata mwingi. Na lina kila dalili ya kutengenezwa kiustadi na kitaalam kabisa ili kumnasa huyo mwanamama msaliti.
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
sasa yale mahojiano kijana akiwa hana suruali maana yke nini? mpelekee mwambegele , Mugasha ndio wanajua kufinyanga ukweli, haki na sheria
 
Back
Top Bottom