Nani kaiona chupa ikiwa kwenye makalio? Daktari kathibitisha? Wanasiasa kuweni makini na hila za mitandaoni

Nani kaiona chupa ikiwa kwenye makalio? Daktari kathibitisha? Wanasiasa kuweni makini na hila za mitandaoni

Kwa maneno yako hayo, Rais Samia amefanya maamuzi ya kukurupuka baada ya kusikia maneno ya umbea mtaani? Kwamba serikali yake na vyombo vyake havina weledi hivyo havikumpa taarifa sahihi kabla ya kufanya maamuzi!!!
kuwajibika au kuwajibishwa hakusubiri ukweli au uongo bali kulinda na kuhifadhi hadhi na weledi wa Taasisi ....

muhisika angekua yuko chonjo na ethics za political leadership hangekawia kuwajibika. Check watu makini the like of chongolo.....

Baba wa Taifa aliwahi kusema haiwezekani wewe ni mtumishi wa umma halafu tunaskia au tunakuona unarandanda mtaani huko na malaya halafu tukuache.....

Therefore,
Haijalishi ni kweli au si kweli, madhila tuhuma zina kuhusu wewe binafsi na sio jukumu ulilotumwa kufanya kwa maslahi mapana ya nchi alipaswa kuwajibika mwenyewe.

Kwasababu zinaweza kupaint Taasisi badly kwenye jamii bila sababu. Lazima uwajibike na ukichelewa unanawajibishwa....
Hakuna serikali inaweza kukumbatia tuhuma za uovu binafsi za mteule wake...

ukihamisha point nahama na wewe mpaka uelewa na ufaidike maana ya masomo yangu
 
kuwajibika au kuwajibishwa hakusubiri ukweli au uongo bali kulinda na kuhifadhi hadhi na weledi wa Taasisi ....

muhisika angekua yuko chonjo na ethics za political leadership hangekawia kuwajibika. Check watu makini the like of chongolo.....

Baba wa Taifa aliwahi kusema haiwezekani wewe ni mtumishi wa umma halafu tunaskia au tunakuona unarandanda mtaani huko na malaya halafu tukuache.....

Therefore,
Haijalishi ni kweli au si kweli, madhila tuhuma zina kuhusu wewe binafsi na sio jukumu ulilotumwa kufanya kwa maslahi mapana ya nchi alipaswa kuwajibika mwenyewe.

Kwasababu zinaweza kupaint Taasisi badly kwenye jamii bila sababu. Lazima uwajibike na ukichelewa unanawajibishwa....
Hakuna serikali inaweza kukumbatia tuhuma za uovu binafsi za mteule wake
Hilo Ndio kosa alifany Paulina,angepunguza sana mzigo alinao kama angewahi kujiulizulu! Pengine ingemsaidia siku za usoni kurejea kwenye Siasa( najua amesha onja utamu)
Hata hivyo huyu ni Ng'ombe wa Magufuli aliyekatwa mkia! Acha aonje chungu ya Siasa! Naye aliwaliza wengi sana Kwa isaliti wake!
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Umenadika ujinga
 
Hilo Ndio kosa alifany Paulina,angepunguza sana mzigo alinao kama angewahi kujiulizulu! Pengine ingemsaidia siku za usoni kurejea kwenye Siasa( najua amesha onja utamu)
Hata hivyo huyu ni Ng'ombe wa Magufuli aliyekatwa mkia! Acha aonje chungu ya Siasa! Naye aliwaliza wengi sana Kwa isaliti wake!
uko sawa kabisa,
na hakua na back up yeyeote ndani ya chama wala serikali...

Ni kweli kabisa ngeachia ngazi mwenyewe mapema angepata faida huko mbeleni
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Siwezi kukataa wala kukubali. Ila visa vya namna hii ni vingi sana katika jamii na taifa kwa ujumla.

Fikra zako ni sahihi sana. Palikuwa na umuhimu wa kuchunguza angalau kwa siku 2 au zaidi kwa kutumia vyombo vua usalama tulivyovisomesha vingetoa jibu sahihi kabla ya kuhitimisha kwa utenguzi.

Tukana unavyotaka, lakini wengi wamehukumiwa kwa kusikiliza upande mmoja, baadaye ikathibitika wameonewa.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
NA huyo imma wa crdb nae vile vitisho vyake vya kuua navyo wamesingiziwa???inaonyesha hii familia ni makatili na imecement hata hizo allegations za dada yake
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Mungu ajawahi kosea, unajuaje labda ni kinyume na unavyoodhani na waanga wakawa wanatendewa mabaya sema wanasiasa ndio wanaficha kwa nguvu ya pesa na umaarufu wao?
 
Kama ili kuthibitisha kosa kosa Hilo ni mpaka tuwe na ushahidi wa mtu aliyeona chupa ikiwa matakoni basi watu wengi wanaofanyiwa ukatili wa kingono kama ubakaji wangeshindwa kuthibitisha kuwa wametendewa unyama Huo .

kwani most cases unakuta hakuna aliyeona...ila ushahidi mwingine unaonesha kuwa ni kweli mhanga Fulani ametendewa kitendo hicho.
Mleta mada alitaka chupa ibandikwe na super glue kabisa ili kila mtu athibitishe
 
Hapana mkuu. Kesi nyingi za ubakaji huwa zinafeli kwa kukosa ushahidi. Ili mahakama imtie mtu hatiani ni lazima kisu (uume) kionekane kikiwa kwenye ala (uke) ama daktari akute manii(shahawa ) ndani ya uke na hizo shahawa baada ya kipimo cha DNA zithibitike kuwa ni za mtuhumiwa. Vinginevyo hakuna kesi hapo.

Kwahiyo usidanganywe
Si kweli kabisa
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Kuna mahali na wakati katika jamii ya watu wa Babati, ambapo Paulina Gekul hakutenda haki. Jamii ya watu wa Babati wamefika stage wamechoka naye, wakamuazimia na wameshamtia doa lisilifutika kwa urahisi.

Kama wanasiasa, watatenda haki na haki itakapoonekana kutendeka katika jamii, hakutakuwa na tuhuma za mchongo. Paulina ameharibu sana kumfanyia huyo kijana unyanyasaji wa kiwango kile. Au tuseme amejimaliza mwenye kwa kuwafanyia watu maovu yaliyopelekea yeye kutengenezewa skendo ya kumuondolea nguvu ya ushawishi chanya katika jamii.

Hakuna atakayemsafisha Gekul endapo mahakama haitomtia hatiani. Wanasiasa wajifunze kuishi na wapiga kura wao vizuri ili wasiwatengenezee maskendo.
 
Kwa ujumla kanda ya kasikazini sio rafiki kwa wanasiasa

Majungu ni mengi kuliko uhalisia

Sielewi Wana kasikaz huwa wanataka nini
 
Sexless upo pamoja nami dada Una maono
Kumbe ni dada? Anataka alone chupa ikiwa kwenye makalio ya kijana. Mbona watu wanafungwa kwa kubaka wakati hutuoneshwi jamaa akiwa kwenye naniliuuuu kama ushahidi mahakamani? Huyu ni binti wa hovyo. Mmewe kapata hasara.
 
Acha kutumika vibaya kesi iko polisi tulia majb yatapatikana tu
 

Ni rahisi kuamini zile audio clip za kutishia za huyo dogo wa Pauline Gekul kuliko kuamini sms hizi ktk screenshot.
Huyo Pauline wa CHADEMA Babati Hana akili kiasi hicho aweze kutengenezea kashifa kwa Gekul lakini anashindwa kujua SMS kwenye matukio kama hayo ya blackmail na money extortion zinaweza kuwa ushahidi utakao mfunga?
 
Back
Top Bottom