Nani kaiona chupa ikiwa kwenye makalio? Daktari kathibitisha? Wanasiasa kuweni makini na hila za mitandaoni

Nani kaiona chupa ikiwa kwenye makalio? Daktari kathibitisha? Wanasiasa kuweni makini na hila za mitandaoni

Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.
Mada yako ikomee hapa hapa.

Kama unaweza kuamini hadi huyo Rais achukue hatua alizochukua..., hii nchi bado tutaluwa tunaamini kwamba ni taifa miongoni mwa mataifa yenye heshima?

Hayo mengine yote uliyo orodhesha hapo ndio kwanza leo nayasikia; lakini pia niliwahi kusikia hadithi za akina Tundu Lissu wakimiminiwa risasi na wenzao, kati yao akiwa Mwenyekiti wake wa chama, ambaye baadae ndiye kawa mstari wa mbele kuokoa maisha yake.

Tumesikia hadithi nyingi za akina Abdul Nondo wakijipoteza na vimada wao. Akina Chongolo, na wengi wengineo.

Huyo Gekul, ni kweli alikamatwa akitaka kutorokea nchi ya jirani, kwa nini atoroke?
 
Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Mstari unao onyesha wewe mwenyewe huna umakini wowote.

Hila zinafanywa na hao hao wana siasa hadi kutaka kutupeleka utumwani tena kama taifa, halafu leo wewe unakuja hapa na kuwataka wao wawe makini?

Vyanzo vyote vya uharibifu kila mahali vinatoka wapi kama siyo kwa hao hao wanasiasa?
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Ulitaka nani awe shahidi wa kwanza zaidi ya yule aliyefanyiwa hicho kitendo? Mtuhumiwa hajakanusha ata pale alipotafutwa na waandishi wa habari. Polisi walimpa huyo kijana PF3 akatibiwe ugojwa gani kama hakuumizwa huko makalioni? W
Wewe ni nani kuhoji wakati yeye kanyamaza?
 
Kama ili kuthibitisha kosa kosa Hilo ni mpaka tuwe na ushahidi wa mtu aliyeona chupa ikiwa matakoni basi watu wengi wanaofanyiwa ukatili wa kingono kama ubakaji wangeshindwa kuthibitisha kuwa wametendewa unyama Huo .

kwani most cases unakuta hakuna aliyeona...ila ushahidi mwingine unaonesha kuwa ni kweli mhanga Fulani ametendewa kitendo hicho.
Kabisa ingekua anavyodai mtuhumiwa wa ubakaji angesema nani kaona ukuni ukiwa ....
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
yaani kijana kaingizwa chupa alafu anatembea kikakamavu kabisaa akati huko mtaani jamaa wanawapiga wenza wao au michepuko yao mishedede ya nyama tu halafu waathirika hawawez hata kutembea au kukaa wanabebwa mzobemzobe hadi hospital.

Anaingizwa chupa halafu anapuyanga mjini kama kawa?
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Kuna baadhi ya wahusika niliwauliza Hili swali.
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Hujiulizi kwanini matukio mengine rais hakuchukua hatua ila Gekul kachukua hatua? Usiwe mj.n.a urais ni taasisi anapewa taarifa zote
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.

Tumekupata kaka yake na Gekul
 
Mleta mada usingeandika huu uzi wako umekaa kichoko Sana. Unayejaribu kumtetea kakuzidi kila kitu., Halafu Mahakama ndiyo itatafsiri haki siyo wewe. Kula kwanza utulize akili.
Point of correction...

Mahakama inatafsiri Sheria, siyo Haki.
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Polisi walisema Mbowe na wenzake watatu(3) watakata miti kuanzia Dar mpaka Iringa na kuitandaza barabarani, siku hiyo sijui magari wangewezaje kuyazuia yasiingie barabarani! Walifutiwa kesi.
 
yaani kijana kaingizwa chupa alafu anatembea kikakamavu kabisaa akati huko mtaani jamaa wanawapiga wenza wao au michepuko yao mishedede ya nyama tu halafu waathirika hawawez hata kutembea au kukaa wanabebwa mzobemzobe hadi hospital.

Anaingizwa chupa halafu anapuyanga mjini kama kawa?
Kwa maneno yako hayo, Rais Samia amefanya maamuzi ya kukurupuka baada ya kusikia maneno ya umbea mtaani? Kwamba serikali yake na vyombo vyake havina weledi hivyo havikumpa taarifa sahihi kabla ya kufanya maamuzi!!!
 
1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .

Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.

Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .

2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.

3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.

Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?

Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
👍👏🙏🎁
 
Back
Top Bottom