Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena, tatizo viongozi wenye mamlaka wanapaswa kutofautisha Kati ya hila/majungu na ukweli.1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .
Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.
Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .
2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.
3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.
Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?
Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Unachekesha saana, kama ni kuwajika au kuwajibishwa kwa tuhuma tu, Samia asingekaa kufikiria kumteua Makonda kwenye nafasi yoyote ile ya utumishi wa umma au chama. Kuna double standards!!? Hatuna utamaduni huo kaka achana na nadharia.kuwajibika au kuwajibishwa hakusubiri ukweli au uongo bali kulinda na kuhifadhi hadhi na weledi wa Taasisi ....
muhisika angekua yuko chonjo na ethics za political leadership hangekawia kuwajibika. Check watu makini the like of chongolo.....
Baba wa Taifa aliwahi kusema haiwezekani wewe ni mtumishi wa umma halafu tunaskia au tunakuona unarandanda mtaani huko na malaya halafu tukuache.....
Therefore,
Haijalishi ni kweli au si kweli, madhila tuhuma zina kuhusu wewe binafsi na sio jukumu ulilotumwa kufanya kwa maslahi mapana ya nchi alipaswa kuwajibika mwenyewe.
Kwasababu zinaweza kupaint Taasisi badly kwenye jamii bila sababu. Lazima uwajibike na ukichelewa unanawajibishwa....
Hakuna serikali inaweza kukumbatia tuhuma za uovu binafsi za mteule wake...
ukihamisha point nahama na wewe mpaka uelewa na ufaidike maana ya masomo yangu
Mlivyomuwekea chupa mlimuamuru atembee nayo mitaani?1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .
Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.
Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .
2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.
3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.
Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?
Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Shetani mkubwa wee!1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .
Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.
Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .
2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.
3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.
Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?
Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Usiitumie haki yako ya kuwa MPUMBAVU vibaya? Hivi unadhani wewe unaweza kuwa na taarifa sahihi juu ya tukio hasa la Gekul zaidi kuliko Rais Samia?1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .
Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.
Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .
2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.
3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.
Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?
Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Una uhakika ni Emmanuel Gekul ndiye aliyekuwa anaongea hayo maneno? Kuna comedians wengi waigiza sauti za watu ndugu yangu. Usiharakie kuhukumu.NA huyo imma wa crdb nae vile vitisho vyake vya kuua navyo wamesingiziwa???inaonyesha hii familia ni makatili na imecement hata hizo allegations za dada yake
Hoja za Kipumbavu TU,mtu amemtoa malalamiko kinachotakiwa ni kuthibitisha malalamiko siyo kubeza malalamiko1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .
Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.
Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .
2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.
3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.
Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?
Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Hapana. Nimesema daktari kapimq kakuta Kuna chupa iliingizwa makalioni? Au ni mbambamba za mitandaoni tu?Mleta mada alitaka chupa ibandikwe na super glue kabisa ili kila mtu athibitishe
Ni kweli kuhukumu sio jambo zuri siku zote tuache vyombo vya uchunguzi vifanye kaziUna uhakika ni Emmanuel Gekul ndiye aliyekuwa anaongea hayo maneno? Kuna comedians wengi waigiza sauti za watu ndugu yangu. Usiharakie kuhukumu.
Vipimo vya daktari navyo vinasemaje?Mlivyomuwekea chupa mlimuamuru atembee nayo mitaani?
Viweke wewe uliyemuwekea chupa.Vipimo vya daktari navyo vinasemaje?
Inabidi uingiziwe wewe hiyo chupa kwenye tundu lako la nyuma ili ujue ubaya wa alichokifanya Gekul. Unadhani Rais anakurupuka tu kumtumbua mtu? Kwa mfano unawezaje kumtetea Kigwangala aliyewarusha kichura watu wazima hadharani? Kigwangala aliyeteketeza kodi za wananchi kutengeneza sanamu feki ya Nyerere unamteteaje? Wewe Sexless waombe mods waufute huu uharo ulioandika.1. Kuna mdada aliandaliwa kumchafua DC Simalenga. Ustadi mkubwa ulitumika kufunika jicho na shavu la huyo mdada kwa bandeji iliyopakwa tomato sauce .
Media uchwara zikategesha kamera mbele ya mdada na kurekodi shutuma kali dhidi ya DC kwamba amemnasa kibao kilichopelekea jicho na shavu kujeruhiwa.
Wanawake na wanaharakati wakapaza sauti za kulaani kitendo hicho. Mungu siyo mm na wewe, DC Simalenga akanusurika ktk hila hizo .
2. Hamis Kigwangala hakuachwa nyuma ktk ushenzi huu. Mfanyakazi wake alibuni tuhuma kali dhidi yake. Akidai Kigwangalla kampiga risasi za moto. Watu kwa wivu na chuki tu dhidi ya wanasiasa wakaanza kumlaani Kigwangalla pasi na kutafuta ukweli. Polisi wakatumia weledi wao kumhoji Kigwangalla na mtuhumiwa , hatimaye Kigwangalla akazikwepa hila hizo.
3. Hivi Sasa kajitikeza mfanyakazi wa Gekul. Huyu naye amejirkodi akilalama kuwa Gekul ameamuru aingiziwe chupa kwenye Tundu la makalioni. Shutuma ni kali sana mitandaoni dhidi ya Gekul, na hata rais ametengua uteuzi wa Gekul kwenye nafasi ya unaibu waziri.
Lkn nani kaiona hiyo chupa ikiwa kwenye Tundu la makalio? Vipi kama huyu kijana anafanya maigizo kama ya hawa wengine? Kwann wanasiasa wanakuwa wahanga wakubwa dhidi ya mashambulizi ya mitandaoni?
Ndipo sasa ninawaonya wanasiasa kuwa wawe makini na hila hizi.
Rais yupi?? Huyu huyu mwenye mihemko? Aliyemtimua Dr. Bashiru kwa mihemko kwamba kapora fedha BoT na kwamba alikuwa anapanga njama za kupinga asipewe urais halafu baadaye akamuomba radhi alipoujua ukweli?Usiitumie haki yako ya kuwa MPUMBAVU vibaya? Hivi unadhani wewe unaweza kuwa na taarifa sahihi juu ya tukio hasa la Gekul zaidi kuliko Rais Samia?
Rais yupi?? Huyu huyu mwenye mihemko? Aliyemtimua Dr. Bashiru kwa mihemko kwamba kapora fedha BoT na kwamba alikuwa anapanga njama za kupinga asipewe urais halafu baadaye akamuomba radhi alipoujua ukweli?Rais hawezi kukurupuka kmtengua kama watu wake hawajalifanyia kazi, Rais hawezi kuwa na nongwa na mwanamke mwenzie.
Katumika kama toilet paper huyu. Sitaki kumuamin ndiyo.Kwa hiyo hutaki kumuamini mhusika aliyesema kawekewa chupa makalioni au