Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Nani wa kumfungia kiongozi wetu Speed Governor? Nchi itapigwa mnada hii

Mama anaenda kukopa hela kwa jina la nchi kama anaenda kukopa vikobaa kila siku nchi za watuuu..hela zinapoenda hazionekanii kabisaa.. miaka mitatu hakuna kipya kafanya hata vile vya magufuli kashindwa kuviendeleza zaidi ya kuu miradi aliyoikutaa leo mwendokasi inakufaa..sgr haina dalili hata ya kuanza kazi...bima toto akaua umeme nao ovyoooo ovyoo BANDARI AKAONA AUZEE KABISA aisee huyu akipewa miaka mingine mitano tutauzwaa pamoja na watoto zetu.
 
Hao wakopeshaji nao hawana fikra,

Mwizi anakopeshwaje sasa,

Ukimpa tu hizo pesa, nenda kasome Ripoti ya CAG mwaka ujao uone madudu!!
wakipewa madini na bandari wao hawaiwahusuu yani kwa mpaka sasa hatukopeshekii walahiii bado kwend a kukopa kenya tu
 
Tungekuwa na Jeshi linalojitambua lingeikomboa nchi maana kwa mfumo haramu wa uchaguzi waliojiwekea sanduku la kura halina uwezo wa kuiponya nchi. Wajeda nao ndiyo hivyo makamanda wao ni makada watiifu wa hawa watesi wetu.
Nchi gani ilifanya mapinduzi ya kijeshi hapa Afrika na ikapiga hatua kimaendeleo? Hao wajeda nao ni binadamu kuna majeda vilaza pia, wana tamaa ya mali pia, maisha ya luxury wanayataka pia.

NB: katika maandamano ya chadema nchi nzima hapa karibuni moja ya ajenda ilikua ni kulinda rasilimali za nchi, je uliandamana?
 
Nchi gani ilifanya mapinduzi ya kijeshi hapa Afrika na ikapiga hatua kimaendeleo? Hao wajeda nao ni binadamu kuna majeda vilaza pia, wana tamaa ya mali pia, maisha ya luxury wanayataka pia.

NB: katika maandamano ya chadema nchi nzima hapa karibuni moja ya ajenda ilikua ni kulinda rasilimali za nchi, je uliandamana?
Wewe tafuta ajira tu upunguze njaa yako
 
Mama anaenda kukopa hela kwa jina la nchi kama anaenda kukopa vikobaa kila siku nchi za watuuu..hela zinapoenda hazionekanii kabisaa.. miaka mitatu hakuna kipya kafanya hata vile vya magufuli kashindwa kuviendeleza zaidi ya kuu miradi aliyoikutaa leo mwendokasi inakufaa..sgr haina dalili hata ya kuanza kazi...bima toto akaua umeme nao ovyoooo ovyoo BANDARI AKAONA AUZEE KABISA aisee huyu akipewa miaka mingine mitano tutauzwaa pamoja na watoto zetu.
Unasema hela hazieleweki zinafanya kitu gani wakati unaishia maisha yako yote hapa Dar, tembe huko mikoani uone umeme ulivyosambazwa nchi nzima.

Tembea uone namna zahanati zinavyojengwa kwa kasi kubwa kila wilaya ya Tanzania. Mengi sana yanafanyika lakini ukiwa ni mwanaharakati tu anayewaza kwa mtazamo wa Dar pekee huwezi kuona kinachofanyika.
 
Anayalipa Kwa makamasi Yako.Your ignorance is no more bearable ,naona unauliza maswali ya kijinga.
usdeb.png
 
Salaam, Shalom!!

Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri.

Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo anayokopa kiongozi wetu ni nini Hasa?

Speed katika kukopa ni kubwa sana, ni Kweli tunahitaji pesa Kwa ajili ya kumalizia miradi iliyoanzishwa na Hayati Magu lakini tunahitaji kufanya Utafiti mikopo iliyokopwa tulinganishe na KAZI mikopo hiyo imefanya tupate balance!

Ikiwa tunakopa na wizi unafanyika, pesa zinaibwa na hazitimizi kusudi Kisha tunarudi tena kukopa, hii Hali ni Hadi lini?

Nani wa kumfunga kiongozi wetu Speed Governor kuhusu mikopo?

Iweje Nchi ikope vijipesa kiduchu vya mboga Kwa kubadilishana na Raslimali zenye thamani mara elfu zaidi ya mikopo hiyo?

Ikiwa Bunge limeshindwa kumdhibiti Kiongozi wetu kutukopea bila kutuuliza, ni nani atazuia au kumshauri vizuri kuhusu mikopo yenye TIJA?

Mh Ndugai akiwa Spika wa bunge, alishindwa kumfunga kiongozi huyu speed governor, Nani ataweza?

Hivi Trillion 2 ni pesa ya Kugawa migodi yetu?

Trillion Moja ni pesa ya kuwapa wageni kufanya UVUVI deep sea? Kwanini tusiwadhamini wavuvi kupitia kampuni za wazawa wanunue Meli kubwa kufanya UVUVI huko deep sea tuexport nje Samaki🤔???

Swali: Njia Gani wananchi tuzitumie kumzuia kiongozi wetu kukopa pesa kiduchu Kwa Kugawa Ardhi, misitu, Bandari na Bahari, raslimali ambazo ni thamani yake ni kubwa kuliko vipesa anavyokopa Kisha vinaishia kuibwa?

Karibuni🙏

Pia soma Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
Waache waue nchi hata Mobutu alitumbua pesa za mikopo akiamini nchi itazilipa zote alipokuja kupigiwa hesabu pamoja na riba akaanza kujamba jamba. Kila mtu apambane awe na biashara na pia ajitahidi atafute fursa hadi nje ya nchi. Tanzania tunaelekea kuwa kama Congo pole pole. Tukifika katika stage hio watakaofaidika ni wale wenye contacts za biashara nje ya Tanzania. Ukifanikiwa kidogo tembelea Uganda, Kenya, Zambia utafuta connection ya bishara yako hapa Tanzania na huko. These contacts will be important for you when our country becomes a failed state.
 
Back
Top Bottom