Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
MSAADA wapendwa niliandika January mara mbili
NDUGU tunatesekea na ma pants YAAN usiku yanatembea kama watu
Mwanzoo TULIJUA nyoka darini YAAN wanatembea na kishindo kizitoo
Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE
Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi
Kifupi n mateso majuzi tulifungua kipande cha cylingbiardKIMOJA wazi tukianza kuwagonga wanakimbilia kwenye tumetoka kipande yakadondika tukayaua
YAAN yako kama bindamu sijui yako MANGAPI na TULIUA sita kwa sikumoja tu
Mwenye kujua dawa ya haraka kuwaua MSAADA pls
NDUGU tunatesekea na ma pants YAAN usiku yanatembea kama watu
Mwanzoo TULIJUA nyoka darini YAAN wanatembea na kishindo kizitoo
Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE
Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi
Kifupi n mateso majuzi tulifungua kipande cha cylingbiardKIMOJA wazi tukianza kuwagonga wanakimbilia kwenye tumetoka kipande yakadondika tukayaua
YAAN yako kama bindamu sijui yako MANGAPI na TULIUA sita kwa sikumoja tu
Mwenye kujua dawa ya haraka kuwaua MSAADA pls