Naomba dawa ya kuuua mapanya hii mara ya tatu au mnasubiri tufe mtoe michangoi??

Naomba dawa ya kuuua mapanya hii mara ya tatu au mnasubiri tufe mtoe michangoi??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
MSAADA wapendwa niliandika January mara mbili

NDUGU tunatesekea na ma pants YAAN usiku yanatembea kama watu

Mwanzoo TULIJUA nyoka darini YAAN wanatembea na kishindo kizitoo

Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE

Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi

Kifupi n mateso majuzi tulifungua kipande cha cylingbiardKIMOJA wazi tukianza kuwagonga wanakimbilia kwenye tumetoka kipande yakadondika tukayaua

YAAN yako kama bindamu sijui yako MANGAPI na TULIUA sita kwa sikumoja tu

Mwenye kujua dawa ya haraka kuwaua MSAADA pls
 
MSAADA wapendwa niliandika January mara mbili

NDUGU tunatesekea na ma pants YAAN usiku yanatembea kama watu

Mwanzoo TULIJUA nyoka darini YAAN wanatembea na kishindo kizitoo

Sasa hali n Tete watoto hawalali sisi hatulali YAAN tukianza kuhondomola na themeji YENU YAAN yanakuja KATIKATI usawa wa kitandaa huko darini yanapiga MAKELELE

Mpaka majuzi YAAN bmkubwa analalamika mbonaaa simalizi nkamtania sijui hayo mapanya huko juu HATA sielewi

Kifupi n mateso majuzi tulifungua kipande cha cylingbiardKIMOJA wazi tukianza kuwagonga wanakimbilia kwenye tumetoka kipande yakadondika tukayaua

YAAN yako kama bindamu sijui yako MANGAPI na TULIUA sita kwa sikumoja tu

Mwenye kujua dawa ya haraka kuwaua MSAADA pls
Ila panya wanakera. Miaka ya nyuma kuna Panya walitafuna vyeti vya jamaa. Yani alimshika mmoja na kuanza kumkatakata vipande.

N de A
 
nakumbuka miaka fulani ya 90s mtaani mitaa ya KINONDONI kulikuwa na mipanya inatutafuna mpk nyayo za miguu
hawa panya walienda mbali wakawa wanatafuna mpk sahani za bati (nadhani mnakunbuka miaka 90s sahani za bati(siso almaalufu) zilikuwa nyingi sana
sasa hawa wajomba panya km mtakuwa mmekula ubwabwa mkawa hamjaosha mmeacha chembechembe za ubwabwa na mchuzi wajomba wanakuka hvyo vibwabwa na mpk sahani wanatafuna wakinogewa kuwenye pindo za juu za sahani


Nb hayo mapanya hata muweke SUMU ya AINA GANI hawafi hao suluhu yao ni kusakana tu kwamalungu na mafagio yaan kukimbiza a kuuaa mmoja mmoja live
 
Ila panya wanakera. Miaka ya nyuma kuna Panya walitafuna vyeti vya jamaa. Yani alimshika mmoja na kuanza kumkatakata vipande.

N de A
Kirohoo n umasikini ULE mkuu hapa nawaza nikanunue panya ninweke darini HATA chakula nimpekekee hukohuko
 
Kuna kidonge fulani cha njano ndani kina unga unga, ulizia duka la dawa watakupa,
Kisha weka kwenye vipande vya nyanya
Ntaulizia mkuu kama n Nje ya nikivyojarib niliaambiwa nkajaribu WAKAFA wawili tu sijui walipoona MAITI za wenzao wakaogopa kula vilibuobakininaitwa indoacid
Mashambikizi ya sasa kama wanapiga ukraine
 
tuliwakimbiza kwa njia hizi
1. Tuliscim Dali vizuri na kuhakikisha halishushi vumbi au upenyo wowote alafu tukamwaga pilipili za unga kama debe moja, hapa ni kiboko hakuna panya atakaa au kupita eneo la dali lililo na pilipili ya unga
2. Hakikisha nyumba yako juu ya bati kwene kingo za kuta unaziba matoyo yote,
3. Kama unazo fedha scim ukuta kwa rangi ya kuteleza kwani panya hawezi panda kamwe ukuta huo
4. Kuweni wasafi panya ndani au juu ya Dari ni ishara ya umaskini na hali ya uchafu katika makazi
 
Kama yuko darini ni rahisi tu. Peleka nyau huko akashinde usiku kucha. Asubuhi nenda kaondoe maiti ya panya na vipande pande alivyosaza. Hakikisha anaenda huko juu akiwa na njaa. Ila sielewi why wako juu, walipitaje? Isije kuwa ni mauzauza. Kama hii njia haifanyi kazi basi njia ya pili ni maombi ya kukemea mapepo. Ita exorcist, mchungaji, wana maombi etc.
 
tuliwakimbiza kwa njia hizi
1. Tuliscim Dali vizuri na kuhakikisha halishushi vumbi au upenyo wowote alafu tukamwaga pilipili za unga kama debe moja, hapa ni kiboko hakuna panya atakaa au kupita eneo la dali lililo na pilipili ya unga
2. Hakikisha nyumba yako juu ya bati kwene kingo za kuta unaziba matoyo yote,
3. Kama unazo fedha scim ukuta kwa rangi ya kuteleza kwani panya hawezi panda kamwe ukuta huo
4. Kuweni wasafi panya ndani au juu ya Dari ni ishara ya umaskini na hali ya uchafu katika makazi
Kweli mkuuu nimeambiwa hivyoo na Toka tumeanza kupambana NAOO YAAN ukishuka pesa kama jini linakujaa huyu katumwa mamamkubwa kaumwa ama MSIBA n shida tupu

Shemejio mahasira ya gafla yamemwingia YAAN n shida tupu

Ntafanyahivyo mkuu
 
Tafuta dawa ya mifupa pamoja na nyanya. Kata vipande viwili au vinne then fungua hiyo dawa unga wake weka katikati ya nyanya. Weka maeneo ambayo una uhakika ndio njia zao hasa pembezoni mwa ukuta na kwenye konakona.

Baada ya siku 2-3 utaanza tu kusikia harufu unawatoa
 
Kama yuko darini ni rahisi tu. Peleka nyau huko akashinde usiku kucha. Asubuhi nenda kaondoe maiti ya panya na vipande pande alivyosaza. Hakikisha anaenda huko juu akiwa na njaa. Ila sielewi why wako juu, walipitaje? Isije kuwa ni mauzauza. Kama hii njia haifanyi kazi basi njia ya pili ni maombi ya kukemea mapepo. Ita exorcist, mchungaji, wana maombi etc.
Napiga kotee mkuu maombi na hii NTAKUPA MREJESHO YAAN kwangu zunguka ukuta mzima hakuna tobonpakuingilia nikiwaza sana HATA sielewi
 
Back
Top Bottom