Naomba kujua kuhusu utajiri wa Rothschild, ni zaidi ya Elon jumlisha Bezos

Rothschild aliwahi kusema niruhusu nichapishe pesa (noti na sarafu za nchi) sitajali kuhusu nani anaongoza.

Wamefanikiwa kumiliki taasisi zote kubwa, World Bank, IMF. Na kila madhehebu makubwa, pesa ni kila kitu kuuendesha ulimwengu.
 
Mayer Rothschild alisema; mimi natoa na kudhibiti pesa ya
taifa na sijali sana nani anaandika sheria.

Wanaongozwa na sera ya ‘aliye na dhahabu ndiye huweka
sheria!’. Jamaa wameiteka dunia vizuri
zaidi, kwa mbinu ya kunyata pasipo kujulikana zaidi na watadumu kwa
muda mrefu.
 
Yule wa al saud haesabiwi sababu ni king,wealth ya nchi nzima ni yake, kwaio wealth zao ni generational ndo maana kwenye families hua hawamueki
Hakuna Tajiri yoyote wa mafuta hata ukiwa sio King, Mmiliki Mwenza wa Twitter na Tajiri ambaye aliwahi kuchuana na Bill gate Prince Waleed ambaye yupo Ufaransa hana hata Time na ufalme wa Saudi ana miaka kama 7 Forbes hawamlist tena.
 
Rothchild families, Hawa sio kwamba ni matajiri tu, Bali pia ndio wamiliki wa mifumo yote ya pesa ulimwenguni. they are very satanic! are the elites/illuminati working in darkness


YESU ni Kristo na Bwana
 
Matajiri wako arabuni,kuna waarabu wana hela kuliko hao wamarekani
 
Bg ni guru
 
Rockefeller ni matajiri sana lakini eti Google wanasema Elon musk ndo tajiri kuliko wote shut up 🤣🤣🤣.. Ila kwa roman catholic church apo umetupiga hawawez mzidi Elon musk wala Mukesh Amban
Usichojua ni kwamba Rothschild ndiye mlinzi na mtunzaji na msimamizi wa hazina ya Vatican.

Nyuma ya utajiri wa hii familia kuna Vatican.

More than 80%ya fedha ya world bank na uchumi wa dunia unamilikiwa na Vatican.

Hueezi kupigana vita kubwa duniani km ile ya Iraq na zingine bila Vatican kuridhia. Wakigeuza kisogo hiyo vita hutaweza kupigana.
 
Kwani M. Kikwete ana utajiri kiasi gani?🤔
 
Hao Jamaa Kwa haraka haraka.....wanahusisha na muunganiko wa mtawala wa Egypt na Babylon enzi hizoooo.
Wanachimbuko la mbali sana
 
Wanaiendesha Vatican.
 
Wanaiendesha vatcan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…