Naomba kujua mshahara wa muuza duka la nguo Kariakoo

Pamoja na kufanya hivyo hawaibiwi? So waswahili ni waaminifu au kuna namna huwabana?
Mchina anapanga bei yake, we unauza juu kidogo na ganji zako anakupa freshi wala hawanaga mbambamba. Vimeo vikitokea anakutanguliza wewe uongee na mamlaka. Wachina ni watu wa kugawanya kwa mbili sana atataka kusikia ni rushwa kiasi gani wapoozwe watembee.
 
Kuaminika na mchina aiseee ni kipengele sana lazima uwe unasafiri sana 😁😁elewa neno kusafiri
Tena nyie wakinga lazima muende nyumbanitu
πŸ˜€Hamna bana wachina ni watu smart sana kwenye biashara. Hawezi kukuamini kama hauna refferal either kwa mchina mwenzie au kwenye chain ya watu ambao anafanya nao kazi. Either ma agent wa clearing wale wanao clear mizigo yake au wafanyabiashara wenzie ambao wako nae kwenye business game kitambo. Hawezi kauaminia kama hutokei sehemu potential ambako kuku trace itakuwa rahisi.
 
Umejibu vzr sana cazee
Haya kkoo unapatikana sehemu gani? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mzee ulikuwa unalamba asali kweri kweri
 
Si ndiomana nimemshangaa mpaji Mungu, yeye anahisi uaminifu mpk uende kwa babu 🀣🀣🀣
 
Unaona wale wachina wa viatu wengi wao wanafika kariakoo mi nipo mle na wengi walioaminika walikua mawinga wakubwa mle
 
Unaona wale wachina wa viatu wengi wao wanafika kariakoo mi nipo mle na wengi walioaminika walikua mawinga wakubwa mle
Sio poa yani sema kariakoo imewatoa wengi sana. Mrija ukifunguka unafanya ya maana ndani ya muda mfupi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…