Naomba kujuzwa namna ya kufika Canada

Kusema ukweli huyu dogo anaubongo wa kuku kwani ukifanya kaz nchini au hata jirani utavunjika mpk uende huko usikariri kuwa kule kunamaisha mazuri saana unaweza kulambishwa msukumio ukawa mvaa vipuri kwenye pua ni huzuni kwa wazazi wewe usifikiri ajira hyo certificate utapata wap kaz kwao wakati wenyewe wanagraduats wao tafuta biashara huko ndo utatoboa
 
Asante mkuu kwa hekima na busara zako
 
Watu msio na ambition mnapenda sana kukatisha wenzenu tamaa.
 
Mwamba umemaliza.. you are so content.
 
Salute nigga. These are words. But zometoka ndani yako. Practically ndio kazi ama vitendo.ngoja nitakuunganisha na huyo sister umcheki. Sema Nimekukubali nimeelewa Nia yako. If you still digging you'll find a way
 
Salute nigga. These are words. But zometoka ndani yako. Practically ndio kazi ama vitendo.ngoja nitakuunganisha na huyo sister umcheki. Sema Nimekukubali nimeelewa Nia yako. If you still digging you'll find a way
Shukrani na ubarikiwe sana Mkuu, panapo nafasi basi pia unanitupia tupia vi link najaribu kutafuta fursa zaidi, njia moja ikishindwa basi nyingine inaweza insha-alah.
 
Pambana na jitahidi kufuatilia ila jichunge pia usitoe hela mpaka una uhakika
Njia zipo nyingi za kutoka kama za halali una hela za kutosha utafika

Na kama unataka za panya nazo zipo ila jihadhari sana usipite Sinai na sehemu zingine upande huo
Kama wakikukamata wanakutoa Figo na kuziuza
Huu ni ukweli na pona yako wanakuambia piga simu kwa ndugu zako watume hela ndefu

Sipo hapa kutisha watu ila biashara ya Figo imeshamiri sana duniani tangu zamani na hata Syrians wengi waliuza kwa hiari ili wapate hela za kujikimu na kutoroka vita huko nyuma

Ikawa mtindo katika nchi nyingi

Tafuta hela za kutosha na uje kwa njia za halali au pambana kwa njia zingine at your own risk
 
Mpo wachache sana duniani.
 
Mpo wachache sana duniani.
Nashukuru sana
Mambo yamebadilika sana siku hizi kwani zamani ilikuwa rahisi sana hata mimi ningekutumia barua tu ya ziara au kuja kwenye ndoa ila sasa wahamiaji wamekuwa wengi mno

Imekuwa biashara kubwa wale wauza ngada wameikimbia hiyo biashara kwa sababu ya kifungo

Ila ukiingiza wakimbizi Mia tu kwa kila mmoja $2000 hapo ana $ laki 2 na akishikwa hafungwi bali a slap on a wrist

Ila hao hao wa madawa ni wakatili mno
 
Ushauri wa bure kabisa, tafuta hela kidogo hapa nchini ukipata ndio hiyo safari yako ya kwenda ughaibuni itatimia.
Kupitia kuomba kazi tu kwa kiwango cha Elimu yako ni kama haiwezekeni labda ushinde Lottery. Njia nyingine ya kujipelekea huko ni kupitia njia ya masomo japo nyo sio rahisi, kma unataka scholarship maana yake uwe una record nzur ya kitaaluma, yaani matokeo bora sana ya O level na A level, kinyume chake kama utaomba Chuo tu, basi bank statement itakuhusu..kwahiyo kwa hali yako ya maisha njia hiyo huiwezi, kwani hata ukisaidiwa hiyo bank statement bado kuna gharama za ziada kama VISA, Insurance, Ticket etc.
Mwisho kabisa, Sio kila ndoto zinatimia kwa kuanza na ndoto hizo, saa nyingine fanya kitu tofauti ili kikuwezeshe kuishi ndoto yako, maana yangu ukiweza rudi shule kafanye Diploma then Bachelor, hapo unaweza sasa kupata full scholarship kufanya masters huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…