Naomba majibu wanaume mmeniacha njia panda mmeshindikana kabisa

Kuna wale wanaume anaacha mke na watoto anahamia kwa mchepuko halafu akiugua anakaribia kufa anarudi kufia kwa mke wa ndoa.
 
Kuna wale wanaume anaacha mke na watoto anahamia kwa mchepuko halafu akiugua anakaribia kufa anarudi kufia kwa mke wa ndoa.
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Pole sana dada. Sisi wengine tuko poa sana! Hao wachache wasituharibie
 
Kuna wale wanaume anaacha mke na watoto anahamia kwa mchepuko halafu akiugua anakaribia kufa anarudi kufia kwa mke wa ndoa.
Mwanaume wa hivi hata asihangaike kurudi kwangu akafie huko huko.
 
Ila kuna kaukweli mwanamke ndio ataikubali mimba au aitoe .
Ila waliokubali ndio watajijua wataleaje wewe ukiambiwa na mimba yako unasemaje ??
SISEMI..

But Nashukuru umeuoa Ukweli kwenye Hoja yangu... Wanawake kuweni makini Otherwise mtazalishwa na kutelekezwa kwa kasi ya 4G... Hasa wale Wanawake wanaoamini Kushika Mimba ni mbinu ya kumtuliza mwanaume.. Niwape POLE in advance..
 
Hahahaaaa, eti wanakunywa mipombe weee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…