Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
TakaNimevikinai tu ila juzi kati nilikula Thai food nilifurahia sana ila sijapata wakunielekeza kukipika so sina shida ya appetite
Make kwanza nicheke๐๐๐Habari wakuu.
Baada ya kugundua kuwa sina uwezo wa kujenga,kununua gari au kwenda mavacation nimeona nifurahie maisha kwa japo kula vizuri kama matajiri.Starehe na anasa yangu iwe kula vizuri.
Uwezo wa kula vizuri ninao ila siridhiki na vitu ninavyokula.Najikuta kila siku nakula vitu vile vile na sasa vimenikinai sivifurahii.Nisipokula ugali samaki au kuku nitakula ubwabwa samaki au nyama nazi njegere ni ndizi za kupika,chipsi,au viazi roast main roast,chapati supu au mchuzi na vingine vingine tu kama hivi vya kawaida.
Naomba nyie mnaojua mapishi/mnaokula vizuri mnipe menu ya vyakula viziuri vizuri vya kitanzania.Hata vya kikabila kama vinanoga nitajie.
Niko serious nishachoshwa na vitu ninavyokula na mara nyingi jioni nakula ubwabwa na mboga tofauti tofauti ila zote zishanikinai.Hapa ubwabwa na mchuzi wa sangara na njegere nazi unanisibiri ila sina hamu nao kabisa ila nina njaa na roho yangu inatamani kula kitu kingine mbali ya hivi๐๐ผ๐๐ผ
NB:Wapi kwa Tz naweza kupata Egusi seeds.
Nipe list ya hivyo vitu nikanunue puliz.๐๐ผ๐๐ผUnanirudisha u-chef kitambo hiko ๐ , kipindi hiko nakata nyanya kama sina akili nzuri. Vyakula vingi tunakula huku mtaani ni hot kitchen tu.. mbaya zaidi wabongo hata baadhi ya vitamin tunakosa mana matumiz ya spices na recipes hatuzijui. Kuna vitu vya kununua ili uwe unapig codes za kijanja
Ni kweli mkuu Nitazingatia hilo japo sio rahisiVyakula ukivigeuza starehe vitakuua mapema sana.
Kama hautakufa mapema, basi utakufa pole pole kwa dhiki ya kukatazwa kula vyakula vitam tam kutokana na migogoro ya afya itokanayo na ulaji.
Kwa hiyo tafuta wataalamu wa lishe akina dk. Janabi wakupe mwongozo, lakini kama umeamua kula kwa ajili ya starehe, akina dk Janabi watakupa miongozo yenye masharti ya kukukera sana.
Tupo.Wapishi mko wapi
Basi hapa mdogo wangu Lamomy akifika jiandae kukusagia kunguni eti bby wangu mpishi forodhani๐๐Tutapika seafood bucket
Andaa
1. Lobster
2. Calamari
3. Octopus
Pembeni
Andaa
1. Tomato kubwa kias 2
2. Kitunguu maji 1 kikubwa
3. Chumvi
4. Cooking cream
5. Andaa na mama cita
6. Saga kitunguu swaumu na tangawizi
7. Andaa na maji ya ndimu
8. Andaa bazil branch 1
9. Andaa na mint branch 1
10. Weka na mafuta ya kula gram 250
11. Weka na unga wa pilipili manga kijiko kimoja n unga wa mahindi vijiko viwili
Hapo tayari, Andaa na vifaa vya kukaangia ikiwemo karai na mwiko. Pia nyanya na kitunguu tutavibabua kwanza (baking)
Cc. Lamomy Kasie Joannah Evelyn salt
Kwenye chakula chako jitahidi kuongezea matunda kama parachichi, siku moja moja pika chips na nyama choma na kuna vyakula vya kiarabu kama bokoboko na shuwaa (nyama inafukiwa ardhini kama mkaa),Tumbili wa mjini msaada basi
Nawategemea dearTupo.
Asante dear.Mimi ushauri wangu punguza vyakula vya michuzi,sijui hizo njegere za nazi,mara mchuzi wa wa sangara mara dikodiko kama la birian utakinai sana.....Bad ilishanishinda spices,unaweza amua kupika nyama ukaitia kitunguu,ndimu na chumvi tu....kaanga iwe ya brown kaanga mzuzu kula .. au chemsha viazi ulaya vikiiva vizuri vimekauka maji vizuri ila havijaungua tea blue band yako kiasi @ kuvisonga mpaka vilainike kula @,Sometimes nunua mahindi mabichi na maharage mabichi na njegere kidogo pika kande zako vizuri kula...mambo ni mengi ngoja nikuuitie wataalam Pridah Missy Gf Nuzulati
๐๐ผ๐๐ผKwenye chakula chako jitahidi kuongezea matunda kama parachichi, siku moja moja pika chips na nyama choma na kuna vyakula vya kiarabu kama bokoboko na shuwaa (nyama inafukiwa ardhini kama mkaa),
Nikikumbuka nitaongezea
Ushawah kula samosa zenye mchsngsnyiko wa kabeji, nyama za kusaga na njegere?Nipe list ya hivyo vitu nikanunue puliz.๐๐ผ๐๐ผ
Hiyo menu hapo chini nilijua tu wewe ni chef.
Lamomy bado mtoto mdogo sana huyu achana naeBasi hapa mdogo wangu Lamomy akifika jiandae kukusagia kunguni eti bby wangu mpishi forodhani๐๐
By the way msosi unaonekana mtamu tunasave na nini?
Habari wakuu.
Baada ya kugundua kuwa sina uwezo wa kujenga,kununua gari au kwenda mavacation nimeona nifurahie maisha kwa japo kula vizuri kama matajiri.Starehe na anasa yangu iwe kula vizuri.
Uwezo wa kula vizuri ninao ila siridhiki na vitu ninavyokula.Najikuta kila siku nakula vitu vile vile na sasa vimenikinai sivifurahii.Nisipokula ugali samaki au kuku nitakula ubwabwa samaki au nyama nazi njegere ni ndizi za kupika,chipsi,au viazi roast main roast,chapati supu au mchuzi na vingine vingine tu kama hivi vya kawaida.
Naomba nyie mnaojua mapishi/mnaokula vizuri mnipe menu ya vyakula viziuri vizuri vya kitanzania.Hata vya kikabila kama vinanoga nitajie.
Niko serious nishachoshwa na vitu ninavyokula na mara nyingi jioni nakula ubwabwa na mboga tofauti tofauti ila zote zishanikinai.Hapa ubwabwa na mchuzi wa sangara na njegere nazi unanisibiri ila sina hamu nao kabisa ila nina njaa na roho yangu inatamani kula kitu kingine mbali ya hivi๐๐ผ๐๐ผ
NB:Wapi kwa Tz naweza kupata Egusi seeds.
Nipe muongozo chef wangu!Ushawah kula samosa zenye mchsngsnyiko wa kabeji, nyama za kusaga na njegere?
La kufa hakuna ajuaye ila hivyo vishanichosha roho yangu inatamani vitu vingineVyote hivyo bado unakinai, basi au siku zako za kuishi zinaishia
Anhaa nilipoga chef miez mitatu utawala wa wahindi sio kabisa. Nishafanya kazi nyingi sana hiyo ya chef now nimeiacha kama miez sita nyuma. Nowadays nina kabiashara ambacho early next year ninaenda kukipigania kwa nguvu zote mikoaniNipe muongozo chef wangu!
Ila kwanini ukaacha u chef dear au mishe za machimbo zimekubana๐
Hapo kwa wahindi nimekuelewa.Anhaa nilipoga chef miez mitatu utawala wa wahindi sio kabisa. Nishafanya kazi nyingi sana hiyo ya chef now nimeiacha kama miez sita nyuma. Nowadays nina kabiashara ambacho early next year ninaenda kukipigania kwa nguvu zote mikoani