Naomba ushauri: Mwanamke wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa

Unajieleza sana dogo mm sjataka hizo polimilai zako
 
Huo usikivu na unyenyekevu unaenda kuishia huko chuo,atakapoenda kushikishwa Koni,na ukuta na wahuni na ma lecture MBWA wewe na mafanikio yako,si usaidie watoto wa mashangazi zako huko porini,unaleta huruma kwa makarumbembe
 
Wadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Kuna pahali umesema amemaliza form six.

Kama ni hivyo. Aombe mkopo wa Heslb.

Kama ni Vinginevyo kwamba atafeli Fanya Kama wadau walivyosema hapo juu. Mpe ujauzito ndani ya mwezi huu na ujao. Muoe then kamlipie Ada. Ikiwezekana chuo kiwe karibu na unakoishi. Awe anatokea kwako.
[emoji58][emoji58][emoji58]
 
Ndio mkuu kamaliza six ndo yupo anangoja afanye process za kuomba chuo na mkopo zikishaaza mwaka huu ndo naombea hapa bora apate huo mkopo wake niwe namboost vitu vidogo vidogo
 
Adam baada yakumwamini Eva nini kilimkuta kwenye bustani ya edeni ⁉️ subiri aanze chuo utaona atakavyobadilika... chukua maneno yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…