Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅 daah wabongo mna manenoWw hujui kuandika unamsomeshaje dem
🤣🤣🤣🙌ushauli❌
ushauri✓
Sasa fanya hivi kamwambie wewe mwenyewe unatakiwa unatafuta hela ya kujisomesha ili uweze kujua matumizi ya R na L
Wanawake wana roho mbaya sana waone tu hiviKuna msemo unasema Sauti ya Wengi ni "Sauti ya Mungu" sasa Shauri yako kamsomeshe huko akakutane na Mume wake mtarajiwa,
Na wew ukiachwa na Hasara ya kutumia mamilion ya pesa ambzo ungeweza hata Kufanyia ktu kingne cha maana tu.
Ushauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao
DaàaahhhTromba familia nzima ili hata baadae akija kukugeuka usiumie...
umeamua kujitafutia kesi ya mauaji baadayeWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
msomesheWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Hii nakataa, wanakutreat kama hawakujui. Sina hamu, ila ulimwengu unamfundisha na Mungu amsaidie.Somesha Wala hakuna shida atakushukuru baadae
Ushauri umkopeshe kwa maandishi baba na mama yko wawe mashahidi kua lazima arudishe na riba kama wafanyavyo bodi ya mikopo...mke hasomeshwi jombiiWadau kuna demu wangu ameniomba nimsomeshe kwao wamekwama kipesa naomba ushauli wenu fafadhali
Jichanganye miaka 3 sio mingi lazima urudi humu unalialia kwa kusalitiwa...hata angekua mke nae hasomeshwiYan nipo njia panda mkuu huyu binti saiv ndo anataka kuanza chuo yan first year nimekuwa nae kwenye mahusiano tangia yupo anasoma advance ila mimi nimempita sana kiumri na kimaisha naifahamu familia yao haiko sawa kiuchumi sasa juzi alikuja kunitembelea mjengoni kwenye maongezi ndo akaniomba hivyo ninacho mpendea ni msikivu sana kwangu na mtiifu sana na siyo mtu wa kuomba hela kabisa hili ndo lililo nivutia tangia mwanzo ndo nikawa nae hadi leo sasa limekuja hili la kuomba nimsomeshe ndo nipo njia panda hapa
Thread closed.Ushauri wa kiutu uzima, muoe kisha msomeshe akiwa mkeo kabisa na pia umdunge na mimba ya kwenda nayo chuo ili hata huko mbeleni akikutosa elimu yake itamsaidia na mwanao
halafu akiachika na kukimbiwa atamfanya nini?Ukitulea swali kama hili outomatic tutakushauri kuwa mchumba hasomeshwi ...... ngoja nikushauri ivii ..... kama hutojali mtafte mwanasheria andikisha neni ... mta andikishana nini mtajua nyie ila lazma uthibitisho flani uwepo kama mlikubaliana kwa mandishi kisheria ....utanishukuru badaye