Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Naombeni Mbinu za Kumtongoza Mdada hapa JF

Fanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!

Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!🙌
Hii inaweza kufanya kazi kwako?
 
Katika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.

Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.

Unajiuliza nini hiki sasa.

Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.

Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.

Kumuanzishia thread haijakaa poa.

Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.

Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.
Fata unaowajua full stop
 
Back
Top Bottom