ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ni mwanamke 100% wanawake kuna angle tunajuanaIla wewe naamini kabisa sio madam,,,maana maandishi yako sio ya kimadam kbs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanamke 100% wanawake kuna angle tunajuanaIla wewe naamini kabisa sio madam,,,maana maandishi yako sio ya kimadam kbs
ephen_ naanza kazi rasmi,,,hv huyu yupo sahihi kweli?Ujambo....
Maadam umesema wewe mumy sina pingamiziNi mwanamke 100% wanawake kuna angle tunajuana
Kasema Ujambo hicho kiswahili kiko sawa?Sijakuelewa
Labda wewe, usiwasemee wengine.Kumeshapitwa na wakati huko matured men don't undulge na wanawake wa namna hio
Asante! Hakipo sawaKasema Ujambo hicho kiswahili kiko sawa?
Haswa ndo maana nikasema matured men.Labda wewe, usiwasemee wanaume wote.
Sawa.Haswa ndo maana nikasema matured men.
Hii inaweza kufanya kazi kwako?Fanya kwanza ajue una exist, anza kuwa serious na comments zake, like za hapa na pale, unamquote mara chache chache ile tu kirafiki, usivuke mipaka wala usilete utani wa hovyo kabla hajakuzoea, ukiporomoshewa mvua ya maneno mabaya sitakuwepo..!!
Mengine watakufunza wajuba wenzio, nisije maliza siri za kikeni nikatimuliwa kwenye chama..!!🙌
😂😂😂🙌Wewe kiboko😃😃😃
Hovyo kabisa 😂😂😂😂Asante! Hakipo sawa
Ujambo❌
Hujambo✅
Hapana,Hii inaweza kufanya kazi kwako?
Duh pale hatari ila hawa wajinga sijui temesa wamefanya nisipite tena huko.Nenda kivukoni panda pantoni utabeba namba za uwapendao au kaa floor ya chini usaidie kuelekeza mashangazi kupaki vizuri gari uokote embe Ferry. Humu utatongoza ndugu yako pasi kujua
Hapana,
amma direct shooter kinda.!!
Naomba nitumie akaunti nikuwekee hela ya lunchNakazia😃😃
Ya Bank gani mkuu🤗🤗Naomba nitumie akaunti nikuwekee hela ya lunch
Yoyote ile itafika tu.Ya Bank gani mkuu🤗🤗
Fata unaowajua full stopKatika harakati za mitandaoni, unajikuta umemwelewa mdada/mwanamke hapa JF.
Humjui sura, umbo, wala tabia yake ila moyo unamkubali tu.
Unajiuliza nini hiki sasa.
Sio mbaya kujaribu pengine ikawa kweli.
Basi unajaribu kuzama PM unakuta imefungwa.
Kumuanzishia thread haijakaa poa.
Hapa najua kuna mavetelani kwenye hili swala.
Note: kama mambo yakienda vizuri, sito mchezea.
Imeisha.023168034838– Hiyo hapo NBC🫡🫡