Sasa jamani: Ulivyoanza kudate hukujua ni dhehebu tofauti au hamkua na mpango wowote, mpango umekuja katikati?
Ni ubinafsi kutaka mwenzio abadili ikiwa wewe hutaki kufanya hivyo, nadhani nzuri ni ile kila mtu awe tayari kubadili then mmoja anaamua kuvolunteer.
I am afraid mmeanza kushindana kwenye kitu kidogo sana.
Halafu suala la madhehebu liko serious kiasi hiko eenhe??
AsanteNakuambia.
Ukisikia Watu wengi wakisema ndoa ndoano hicho ndicho nilichoeleza.
Mtu hamfanani alafu unalazimisha kuanzishwa familia.
Unajua maana ya familià?
Familia ni kuwa kitu kimoja.
Sasa huyu anaimani hii, yule anaile, huyu anaelewa hivi yule anaelewa vile.
Huyu ndiyo yake ni hii, mwingine ndoto yake ni ile. Hapo ni machafuko hakuna familia.
Usabato au Ukatoliki haufanyi ndoa iwe na furaha. Ila mkiwa na imani sawa kumhusu Mungu hapo ndoa lazima iwe na furaha.
Wasabato wanaamini, siku ya ibada ni Sabato, jumamosi. Wakatoliki hamuamini. Wasabato hawaamini katika Kuombea marehemu, wakatoliki mnaamini. Wasabato hawaamini katika sala ya Mama Maria, wakatoliki wanaamini.
Wasabato hawali nguruwe, Wakatoliki mnakula.
Hivi hapo kuna familia kweli?
Mtakuwa pamoja kweli? Mtaweza kulea watoto au ndio mtawachanganya au kuwaacha walelewe na ulimwengu?
Kama ni mimi nashauri achaneni ikiwa kila mmoja amebaki kwenye ubinafsi wake.
Na isitokee yeyote akahamia kwa mwenzake kinafiki. Huko ndio kubaya zaidi.
Wow...hii ni nzuri sanaHakuna changamoto, tumewalea katika misingi ya biblia. Wote wamekua wakatoliki, but siku nyingine tunaenda wote usabatoni kusali, siku zingine tunaenda RC. Mungu ni yule yule, Kristu ni yule yule, kinachotuunganisha zaidi ni biblia. I guess it comes down to the two of you.
Wow...hii ni nzuriHakuna changamoto, tumewalea katika misingi ya biblia. Wote wamekua wakatoliki, but siku nyingine tunaenda wote usabatoni kusali, siku zingine tunaenda RC. Mungu ni yule yule, Kristu ni yule yule, kinachotuunganisha zaidi ni biblia. I guess it comes down to the two of you.
Hapana kipenzi usiseme hivyo jamani, still naangalia maoni yenu then nimshirikishe Mungu zaidi ili niamue maamuzi mazuri ambayo nitakuwa na amani siku zote za maisha yanguNdo ujue kwamba ni mbinafsi.
Mbona wewe hujaona kuingia kanisa la wasabato ni dhambi?
Mwambie kwamba hata kuoa mkatoliki ni dhambi akaoe msabato mwenzake. Ila ndo hivyo huwezi kumwambia..
Najua utaishia kuwa msabato kwa mapenzi uliyo nayo juu yake. Hapa tunapoteza muda kukushauri.
Huo mstari wa mwisho,Sasa mama atawafundisha watoto Nini wakati Dini ya baba haijui? Kumbuka mlezi mkuu wa watoto ni mama.Mfano huyo dada ni mkatoliki ,katika ukatiloki kuna stages mfano,kubatiza watoto wakiwa bado wachanga,komunio,na kipaimara lkn kwa wasabato hiyo hamna.
Sasa nani atawasimamia Hawa watoto katika misingi ya Dini?
Ndio maana ni vizuri sana kuoana watu wa dhehebu Moja,na ikiwa mmependana madhehebu tofauti ni lazima mmoja afate Dini ya mwenzake(,Hasa mwanamke).
Ndio maana siku huzi unakuta familia Moja lakn watoto wana Dini tofauti.
HAHAHAKama Papa kaishangaza dunia kasema kanisa lipo tayari kuwabariki waliobadili jinsia we hayo maamuzi madogo unashindwaje kuamua?
ulikosea kuzipanga mkuu nimerekebisha😀Ndoa ili iwe na furaha itahitaji mambo makuu matatu
1. Upendo
2. Akili. Kuelewana. Hekima na busara.
3. Imani.
Hayo mambo matatu lazima mfananane. Ili muweze kuishi kwa furaha na kulea watoto wenu wawe kizazi Bora.
Kikipungua chochote hapo ni bora kuachana mapema.
Hakunaga ndoa ya serikali. Kama kila mmoja hataki kuamini imani ya mwenzake tafsiri yake hapo hakuna familia itakayoanzishwa.
Kama yeye ndiyo kageuka makubaliano bado all cards rests on you.....Yani mm sikuwai lijuaga ili dhehebu namna lilivyo..na at first nilishamkatalia akaniambia kuwa ya serikali tutafunga ili kila mtu abaki na dini yake lakini alipoanza kuwa serious na haya Mambo ndo amenigeuka anasema hataki ata kusikia inabd mm nimfate yeye
ulikosea kuzipanga mkuu nimerekebisha😀
1.AKILI
2.UPENDO
3.IMANI
evava.✔️✔️
mwili mmoja wenye mitizamo tofauti?Mungu akusaidie katika hiyo changamoto lakini kama Mwanaume atakubali mfunge ndoa kwenye dhehubu lake halafu kila mmoja asali kwake itapendeza zaidi.
Hiyo ipo sana inapobidi.mwili mmoja wenye mitizamo tofauti?
% kubwa ya wakurya au wanaume wa kanda ya ziwa wenye 25+ wamelelewa kwenye mfumo dume, so it's either mfunge ndoa ya kisabato or else sahau kuhusu iyo ndoa.Kwani Wana Nini jmn?🥺