Jessy2
Member
- Sep 18, 2023
- 56
- 107
- Thread starter
- #101
Hapana mm sijamtaka yeye abadili ninachotaka Mimi kila mtu abaki na Imani yake
Sasa jamani: Ulivyoanza kudate hukujua ni dhehebu tofauti au hamkua na mpango wowote, mpango umekuja katikati?
Ni ubinafsi kutaka mwenzio abadili ikiwa wewe hutaki kufanya hivyo, nadhani nzuri ni ile kila mtu awe tayari kubadili then mmoja anaamua kuvolunteer.
I am afraid mmeanza kushindana kwenye kitu kidogo sana.
Halafu suala la madhehebu liko serious kiasi hiko eenhe??