Naombeni wazo la Biashara kwa mtaji wa kati ya Milioni 2-3 kwa Dar es Salaam

Shukran mkuu 😁😁
 
Shukran mkuu
 
Ahsante sana
 
Hiyo ya M pesa mchawi location tu na kwa wadada naona inawafaa sana haina mishkeli mingi.

Japo wadau wameipiga vita sana ila kwa mimi ningeichagua hiyo.

Chipsi zina mambo mengi na ni lazima utafute mtu wa kukusaidia, uendeshaji wake ni gharama lakini pia inahitaji sana umchunge mfanyakazi wako, tofauti na mpesa ambayo unaifanya mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…